Ushauri kwa Magufuli: Uongee mambo yenye tija na uwe na uhakika nayo.

Ushauri kwa Magufuli: Uongee mambo yenye tija na uwe na uhakika nayo.

field marshall1

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2017
Posts
1,171
Reaction score
2,732
Nimefuatilia baadhi ya hotuba za rais Magufuli, Hotuba hizo zipo "vague" na zimekosa coherent na mvuto kwa wananchi wengi isipokuwa kwa wachache walio makada wa CCM wanaojilazimisha kufurahia wakiogopa "repercussions" iwapo watafikiri tofauti au wata-"comment" lolote.
Nyingi za hotuba zake zinaongelewa aidha WANAWAKE, KUOA, KUPIGA nk. Mfano halisi ni kwenye msiba wa aliyekuwa meya/mkurugenzi wa Dar, Masaburi aliyefariki, rais akiwa kwenye msiba aliropoka kuhusu kuwafahamu wake wanne wa marehemu akiwa kwenye msiba....Nani alimwambia anapaswa kuongea kitu asichotakiwa kufanya kwenye msiba? juzi tena akiwa kwenye sherehe za kitaifa alimsema kuwa Rais mstaafu Ali H. Mwinyi ameishi muda mrefu kwa sababu ana wake wawili, Akiwa na Rais Museveni kwenye mkutano muhimu wa nchi zetu akatoa neno ambalo ni offensive kuwa " Rais Museveni aliishi Tanzania huenda ameacha watoto huku kwetu" hapo Museveni akiwa na mke wake, kwa wale walioiona hiyo "clip" utagundua kabisa hayo maneno hayakumpendeza kabisa Museveni kwa jinsi "expression" ya uso wake ulivyobadilika, hakutegemea kusikia aliyoyasema Magufuli. Ni kila mara huyu rais anaropoka mambo yanayohusiana na mahusiano na wanawake au matusi matusi tu! "mara sitafuti mke", "mara ninaowachagua watu wananiambia nina uhusiano nao", yote ya nini hayo? Mbona hasemi ya Sundi Maloto?
Siyo hayo tu juzi kwenye hotuba yake, alimsema waziri Jaffo kuwa ana wake wanne (4) Sasa hata akiwa na wake wanne inamhusu nini? Yeye si muislamu? hata hivyo ana mke mmoja tu, rais wetu anajiabisha sana.
Rais anafanya mengine mazuri lakini asijiabishe au ni utamaduni wa kule anakotoka...Paschal unaweza kutuambia?
 
Anapenda kusema wenzie wana wake kadhaa wa kadhaa ila yy hajisemi ana wanawake wangapi na masuria wangapi! Hata idadi ya watoto wake ni kizungumkuti! Anatia kinyaa huyu jamaa
 
Usimpangie Rais wetu Nini Cha Kuongea Kama sehem ya utani katika hotuba Kuna mdau katumia neno chombezo..mbona hamuelewi jamani
 
Jiwe
photo8jpg.jpeg


#bamia_ndefunene
 
Huyu mwanamke alizaa na Magufuli, halafu akapewa nyumba ya serikali bure wakati Magu akiwa waziri wa Ujenzi. Magu alimpa kaka yake nyumba moja na nyingine akampa huyo mwanamke. Nafikiri nimejibu swali lako.

Duh so mbali ya kuzaa na shemeji yake alizaa pia na huyu Sundi-mhh imbombo ingafu wanyambala kwa kweli this world???!!!!
 
Tunahongaga hata nyumba za serikari?
Ishhhh, na mafisadi tumewajengea mahakama zao,lkn hatujengi jela za mafisadi wasije wakanisweka na mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom