Ushauri kwa Mama Samia baada ya kushinda uchaguzi mkuu kwa 97%

Ushauri kwa Mama Samia baada ya kushinda uchaguzi mkuu kwa 97%

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje kwa kofia ya siasa wataacha. In fact, watapigwa marufuku hata kwenda huko kiholela.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
 
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje wataacha kwa kofia ya siasa.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
Kazi iendelee
 
Mambo ni mengi muda ni mchache.
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje wataacha kwa kofia ya siasa.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
Mambo ni mengi muda ni mchache
 
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje kwa kofia ya siasa wataacha. In fact, watapigwa marufuku hata kwenda huko kiholela.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
1000003593.jpg
 
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje kwa kofia ya siasa wataacha. In fact, watapigwa marufuku hata kwenda huko kiholela.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
Mama Samia akikubali ushauri wa kuendelea ni kutukosea sisi wananchi..hapaswi kuendelea, miaka 5 akiwa makamu wa Rais na miaka 5 akiwa Rais jumla ni miaka 10 kwenye nafasi ya juu kabisa kufanya maamuzi ya nchi..INATOSHA! Katiba inampa Rais na Makamu wake miaka 10 tu na yeye ameshika nafasi zote mbili umakamu na urais..kuendelea zaidi ya hapo ni kutaka matatizo!
 
Mama Samia akikubali ushauri wa kuendelea ni kutukosea sisi wananchi..hapaswi kuendelea, miaka 5 akiwa makamu wa Rais na miaka 5 akiwa Rais jumla ni miaka 10 kwenye nafasi ya juu kabisa kufanya maamuzi ya nchi..INATOSHA! Katiba inampa Rais na Makamu wake miaka 10 tu na yeye ameshika nafasi zote mbili umakamu na urais..kuendelea zaidi ya hapo ni kutaka matatizo!
Matatizo na nani?!!!!!! Nyumbu wa mbowe na lissu?!!!!!
 
Matatizo na nani?!!!!!! Nyumbu wa mbowe na lissu?!!!!!
Hivi una akili timamu kweli ww mnadhan uchaguz mkuu mtauiba kama uliopita wa magu labda mume wenu mbowe awe mwenyekti nje ya hapo hakuna uchaguz kwa tume hii ya wateule wa mwenyekt wa ccm hakuna Mmezoea vya kunyonga au vp
 
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje kwa kofia ya siasa wataacha. In fact, watapigwa marufuku hata kwenda huko kiholela.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
Ztoke wp hzo 97 si mnatumia jeshi kushnda tafuten mbinu nyngne safari hii naskia huko dodoma
Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa. :BearLaugh: :KEKLaugh:

Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
 
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje kwa kofia ya siasa wataacha. In fact, watapigwa marufuku hata kwenda huko kiholela.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.
 
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje kwa kofia ya siasa wataacha. In fact, watapigwa marufuku hata kwenda huko kiholela.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
Lissu keshapinga mahakamani kupata 3%.
 
Ungemshauri athibiti Wizi wa Kurq kwqnza ili Rais aingie madarakani kupitia sanduku la kura zilizopigwa na wananchi.
 
1. Mteue Makonda kuwa waziri wa mambo ya ndani. Nakuapia vibaka wote, hawa panya road hadi wale wanaowaibia wazungu huko nje kwa kofia ya siasa wataacha. In fact, watapigwa marufuku hata kwenda huko kiholela.

2. Mrejeshe Kalemani kwenye wizara. Yuko smart yule mtu.

3. Fanya kitu hapo Jangwani papendeze bwana. Tunashindwaje na Rwanda?!!!!!! Hiyo legacy si ya nchi hii.

4. Tenganisha hizi barabara kuu zote Ili magari yasiwe yanapishana. Utapunguza ajali hz za kijinga na utakuwa umeendelea kuupiga mwingi kweli kweli.

5. Amuru posho ya mazingira magumu kwa walimu wote wa mazingira magumu. Dar Es Salaam hakuna. Hapo hakuna walimu wanaofanya kazi.....hapo wanajipigia Hela tu. Makazini kwenyewe wengi wao ikishafika saa 5 hawapo. Huko Lindi, tena manispaa kabisa, Kuna shule Zina walimu watatu, wanne, watano tena ni nyingi tu.

Itaendelea.......
Atashinda ndio lakini kwa wizi na Watanzania wengi kwa umbumbumbu wao wataona poa tu.
 
Back
Top Bottom