Ushauri kwa Mange Kimambi

LAKINI JINA LAKE NI HALISI SIO LAKUNUNUA KAMA.............
 
Mi nakushauri uachane na huyu Dada!! Coz unavodai hana kazi ...Yes might be but swal n Je kama ww ungeweza kuishi marekani bla kazi bora tz unaweza unaweza hata shindia mapera!!...Unajuaje anakaz za online,au anafanya online market ,teaching or something else that don't need person Physical in a field!!... Bila shaka naww utanzania umekufanya akili yako ishindwe kwenda na technology na mabadilko ya kidunia au hujajua dunia ilipofikia !!.... Elewa kuna watu wanaingiza kipato kikubwa just for advertisement on net kwa kutumia sim au computer huku wamelala home!!..wake up !!...Hatutaki Akili mgando!!....Umpe onyo lakin usikalili kaz lazma iwe ya kwenda physical or ya kutumia vyeti!!....shule lengo lake siyo kutufanya employed bt capable of anything
 
Kwahiyo Bora daudi bashite aliepata fafafa zote na kughushi vyeti
 
Mbona unazidi kunichanganya? 2013 uliandika kuwa wanaume siku hizi nyie ni wambea sana hapa tena unasema wewe ni mama.
Aisee jamani nisaidieni au huku JF kuna majini 12[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Atakuwa na jinsia mbili huyu sio bure
 
Dola my foot, kawadanganye mitambo wenzio, nilikua miaka hyo, hakuna mtu mwenye akili timamua akamdhamini huyo msukule
Sidhani sana kwanini nidanganye kuhusu mange ambaye hata jina langu tu hajawahi kulisikia. Btw hata ulivyojibu hapo imeonesha wazi hujaelewa nilichosema. Masuala ya kudhaminiana yanaingia vipi kwenye blog?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…