BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Mshauri mdau huyu aliyeamua kujiajiri , alipata fedha kidogo akapanga fremu na fremu haikua kwenye hali nzuri akafanya marekebisho kidogo(hela kidogo ikatumika), akanunua na samani chache kama meza na kiti, ni duka la mpesa na liko eneo zuri sana lenye watu.
Sasa hela imekata, anafanya nini? je aingie ubia na mtu mwenye mtaji wakubaliane kimaandishi kwa uwazi kabisa faida itakayokua inapatikana wagawane, au aende benki kukopa je atakopa kwa dhamana ipi sababu hana dhamana zozote ambazo benki nyingi zinahitaji kama kiwanja/nyumba/gari ..au akopeshwe na mtu( amejaribu kwa wadau mbalimbali hajafanikiwa).
Sasa hela imekata, anafanya nini? je aingie ubia na mtu mwenye mtaji wakubaliane kimaandishi kwa uwazi kabisa faida itakayokua inapatikana wagawane, au aende benki kukopa je atakopa kwa dhamana ipi sababu hana dhamana zozote ambazo benki nyingi zinahitaji kama kiwanja/nyumba/gari ..au akopeshwe na mtu( amejaribu kwa wadau mbalimbali hajafanikiwa).