BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
mtaji mpesa 2 tu unaanzaBasi hakuna namna hiyo line ya mpesa auze tu
Mwambie Tuwasilianemtaji mpesa 2 tu unaanza
Kwahio wakati anafanya huo ukarabati,ananunua samani hakujua anapunguza mtaji wake?Mshauri mdau huyu aliyeamua kujiajiri , alipata fedha kidogo akapanga fremu na fremu haikua kwenye hali nzuri akafanya marekebisho kidogo(hela kidogo ikatumika), akanunua na samani chache kama meza na kiti, ni duka la mpesa na liko eneo zuri sana lenye watu.
Sasa hela imekata, anafanya nini? je aingie ubia na mtu mwenye mtaji wakubaliane kimaandishi kwa uwazi kabisa faida itakayokua inapatikana wagawane, au aende benki kukopa je atakopa kwa dhamana ipi sababu hana dhamana zozote ambazo benki nyingi zinahitaji kama kiwanja/nyumba/gari ..au akopeshwe na mtu( amejaribu kwa wadau mbalimbali hajafanikiwa).
hamna neno nduguAni pm huenda
Akapata msaada
shukran kiongoziTafuta mtu mwenye mtaji ila yeye hana eneo la biashara ,wewe utakuwa unamili eneo la biashara yeye mtaji ,so kwa makubaliano ya kugawana faida itayopatikana! Kwa style hiyo unawezakuta unarudisha pesa yako iliyotumika
ila si ifae ukute ambaye hana sehemu basi na yeye awe na wazo sawa na biashara yenyewe husikaTafuta mtu mwenye mtaji ila yeye hana eneo la biashara ,wewe utakuwa unamili eneo la biashara yeye mtaji ,so kwa makubaliano ya kugawana faida itayopatikana! Kwa style hiyo unawezakuta unarudisha pesa yako iliyotumika
bwana prondo nafikiri refurbishment ni sehemu ya mtaji, angefanyaje au hela ingekaa tu bila kufanya lolote..si bora naona kafanya jambo linaonekana ..je angeenda kuinywa bia au kuitumia kwenye starehe ingekuwajeKwahio wakati anafanya huo ukarabati,ananunua samani hakujua anapunguza mtaji wake?
Si unaona kafanya ukarabati matokeo yake hela imeisha, angeingia hivyo hivyo kiugumuugumu au asingechukua fremu hadi mtaji ukue sana. Hujawahi kuona wale wanaofanya hio biashara ya tigopesa mpesa chini ya mwamvuli?bwana prondo nafikiri refurbishment ni sehemu ya mtaji, angefanyaje au hela ingekaa tu bila kufanya lolote..si bora naona kafanya jambo linaonekana ..je angeenda kuinywa bia au kuitumia kwenye starehe ingekuwaje
Ndio mimi nimemwambia angeanza chini ya mwamvuli hadi mtaji ukue.Ila ukiona mtaji wako wa kuunga unga bora uwe kauzu utafute hata kibanda kuliko kulipa kodi
Au hata meza kwa Mpesa inafaa kabisa kuanzia.
Idea ni nzuri kama una namna unaweza kuweka share na mtu fanya hivyo
Hakupata hili wazoNdio mimi nimemwambia angeanza chini ya mwamvuli hadi mtaji ukue.
Angekaa chini ya mwamvuli,hapa tigopesa pembeni ana container la soda/maji baridi....voucher,pipi etcHakupata hili wazo
Ila mtaani watu wanazikimbia frame
Mtu anajiegesha chini ya mwamvuli kukimbia stress za kodi na TRA.
Tunapenda kuanzia juu.Angekaa chini ya mwamvuli,hapa tigopesa pembeni ana container la soda/maji baridi....voucher,pipi etc
SITE IKO WAPImtaji mpesa 2 tu unaanza