Huja
JF-Expert Member
- Aug 7, 2021
- 1,167
- 1,848
Mo...mmoja wa matajiri lialia wa simba kuwahi kutokea pale msimbazi.
Ni very rare kupata watu wa hivyo. Si mfadhili tu bali ni mshabiki anayeumia simba ikipoteza.
Yapo majungu juu yake ili akate tamaa, ila huyu jamaa watasubiri sana. Sio kama kina Azim Dewj wakati ule...the man is real ambitious. Tunajua umewekeza simba, leo timu inapata kila facilities..
Ni mwaka wa pili sasa Washabiki wanakosa lile shangwe na mzuka wa ''WAR IN DAR''.
Timu ipo CCL , 2nd NPL, inashinda lakini hakuna furaha..kwa nn? ...is like Barcelona kwamba hata washinde lakini kama hawachezi PIRA lao bado..
NINI KIFANYIKE.-
1: Unda timu makini ( ufundi) kwa ajili ya scout ya wachezaji hata kama sio maarufu but skilled, wepesi na wenye nguvu for CCL ( timu ya usajili for past 2 years imekuangusha sana )
2: Fanya scout ya kocha (mapema) badala ya zima moto ligi ikiisha (unless ROBERTINO abadilike lakini kwa jicho la mbali..mh mashaka..
3: Imarisha kitengo cha uhamasishaji, kuamsha Ari na mzuka kuanzia kambi ya team hadi kwa washabiki nchi mzima.
4: Tafuta watu wabunifu ndani ya SIMBA...
5: Anza kufikiria Mzabuni wa jezi anayejitambua .
6:.....
7:…..
Mo fanya mapinduzi makubwa ( OVERHAUL) ndani ya Simba. Yawezekana Mo uko busy sana for other Business management, investments and travelling... but Nasema haya kwa Mo kwa Kuwa una hisa kubwa ndani ya simba....una influence kubwa ktk decision making and strategies..
Uli-struggle - very hard to make transformations ndani ya SIMBA ..na ukafanikiwa kubadili mindsets za wazee na kuwekeza pale na kuleta walau usimamizi wa kisasa ktk vilabu vikubwa tz ( wengine wamekuja kuiga ideas zako za uthubutu).
Hatukujua ipo siku Simba itakuwa Top 11 club in Africa... Simba wanaalikwa kushiriki Africa super league for the first time.
Simba imetambulika kama Giant club in East and Central Africa ..
Let you be the champion of these football transformations ...
Ni very rare kupata watu wa hivyo. Si mfadhili tu bali ni mshabiki anayeumia simba ikipoteza.
Yapo majungu juu yake ili akate tamaa, ila huyu jamaa watasubiri sana. Sio kama kina Azim Dewj wakati ule...the man is real ambitious. Tunajua umewekeza simba, leo timu inapata kila facilities..
Ni mwaka wa pili sasa Washabiki wanakosa lile shangwe na mzuka wa ''WAR IN DAR''.
Timu ipo CCL , 2nd NPL, inashinda lakini hakuna furaha..kwa nn? ...is like Barcelona kwamba hata washinde lakini kama hawachezi PIRA lao bado..
NINI KIFANYIKE.-
1: Unda timu makini ( ufundi) kwa ajili ya scout ya wachezaji hata kama sio maarufu but skilled, wepesi na wenye nguvu for CCL ( timu ya usajili for past 2 years imekuangusha sana )
2: Fanya scout ya kocha (mapema) badala ya zima moto ligi ikiisha (unless ROBERTINO abadilike lakini kwa jicho la mbali..mh mashaka..
3: Imarisha kitengo cha uhamasishaji, kuamsha Ari na mzuka kuanzia kambi ya team hadi kwa washabiki nchi mzima.
4: Tafuta watu wabunifu ndani ya SIMBA...
5: Anza kufikiria Mzabuni wa jezi anayejitambua .
6:.....
7:…..
Mo fanya mapinduzi makubwa ( OVERHAUL) ndani ya Simba. Yawezekana Mo uko busy sana for other Business management, investments and travelling... but Nasema haya kwa Mo kwa Kuwa una hisa kubwa ndani ya simba....una influence kubwa ktk decision making and strategies..
Uli-struggle - very hard to make transformations ndani ya SIMBA ..na ukafanikiwa kubadili mindsets za wazee na kuwekeza pale na kuleta walau usimamizi wa kisasa ktk vilabu vikubwa tz ( wengine wamekuja kuiga ideas zako za uthubutu).
Hatukujua ipo siku Simba itakuwa Top 11 club in Africa... Simba wanaalikwa kushiriki Africa super league for the first time.
Simba imetambulika kama Giant club in East and Central Africa ..
Let you be the champion of these football transformations ...