Ushauri kwa Mwanajamiiforum Frey Cosseny baada ya hukumu.

Ushauri kwa Mwanajamiiforum Frey Cosseny baada ya hukumu.

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Napenda kumshauri kada huyu wa CCM ambaye alitumia nguvu nyingi sana kumtetea ole Sabaya kwakua walikua ni genge moja, ametishia sana watu na kujiona kua yeye ndio chama na yeye ni kila kitu.

Asome alama za nyakati, kuishi kwa kutegemea kuumiza wenzako laana ya Mola haitakuacha salama. Tena ana bahati huyu mtu alitakiwa naye awe ndani. Kutwa nzima alikua akimtetea Sabaya anajua walichokuwa wanakifanya.
 
Napenda kumshauri kada huyu wa CCM ambaye alitumia nguvu nyingi sana kumtetea ole Sabaya kwakua walikua ni genge moja, ametishia sana watu na kujiona kua yeye ndio chama na yeye ni kila kitu.

Asome alama za nyakati, kuishi kwa kutegemea kuumiza wenzako laana ya Mola haitakuacha salama. Tena ana bahati huyu mtu alitakiwa naye awe ndani. Kutwa nzima alikua akimtetea Sabaya anajua walichokuwa wanakifanya.
Au. Ni yule anayepinga kelele kwenye shule ya uongozi
 
Comte
Eltwege
Yehodav
Na kundi lao lote
Umemwacha Cremia. Bila shaka hao ni sehemu ya lile kundi la wauaji. Kama Mungu Baba yetu ametenda kwa Sabaya, hataacha kutenda kwa hawa pia. Kwa kila mmoja kwa namna yake, kadiri ya hekima yake yeye mkuu wa Ulimwengu na mbingu.
 
Back
Top Bottom