Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Habari Mhe Waziri , Mohammed Mchengerwa ,Kwanza ni kupongeze Kwa uteuzi wako ,kazi unaenda nayo vizuri ,kuna maeneo kidogo ningependa kushauri ,JF ni kioo cha jamii kitumie katika kujirekebisha.
Ni ukweli usiopingika umekua mtetezi wa Watumishi wa UMMA ukitamani kila mtumishi apate haki yake ,na wasimamiz wao wasiwaonee Kwa ilo nakupongeza sana.
Umekua ukitoa matamko mbalimbali ya kuwakumbusha viongozi wetu ,na watumishi na mengine ukikemea ubabe Kwa Watumishi
Kuna siku ulikemea kutaka viongozi wasituambue watu majukwaani ,tena umekemea viongozi wanatumia ubabe kuwanyima likizo watumishi ukiwataka kufuata sheria na kanuni Kwa maelewano ,ni Jambo jema na matumaini Kwa watumishi
Ila nimeshangaa juzi na wewe umemtumbua afsa manunuzi wa TARURA jukwaani ,nimetaka nikuweke Sawa usimamie unachowakumbusha wenzako ,naamini utalipokea na kulifanyia kazi.
NB: Serikali iongeze mwendo katika kulipa madeni ya wafanyakazi, ulipoteuliwa ulitangaza kuwa serikali imetenga fedha za ulipaji wa madeni na Rais siku ya wafanyakazi Alisema mwaka huu wa fedha utatumika kulipa madeni ya watumishi, mwendo tunaona ni mdogo
Ni ukweli usiopingika umekua mtetezi wa Watumishi wa UMMA ukitamani kila mtumishi apate haki yake ,na wasimamiz wao wasiwaonee Kwa ilo nakupongeza sana.
Umekua ukitoa matamko mbalimbali ya kuwakumbusha viongozi wetu ,na watumishi na mengine ukikemea ubabe Kwa Watumishi
Kuna siku ulikemea kutaka viongozi wasituambue watu majukwaani ,tena umekemea viongozi wanatumia ubabe kuwanyima likizo watumishi ukiwataka kufuata sheria na kanuni Kwa maelewano ,ni Jambo jema na matumaini Kwa watumishi
Ila nimeshangaa juzi na wewe umemtumbua afsa manunuzi wa TARURA jukwaani ,nimetaka nikuweke Sawa usimamie unachowakumbusha wenzako ,naamini utalipokea na kulifanyia kazi.
NB: Serikali iongeze mwendo katika kulipa madeni ya wafanyakazi, ulipoteuliwa ulitangaza kuwa serikali imetenga fedha za ulipaji wa madeni na Rais siku ya wafanyakazi Alisema mwaka huu wa fedha utatumika kulipa madeni ya watumishi, mwendo tunaona ni mdogo