Elections 2010 Ushauri kwa raisi wangu dr slaa

Mbalinga

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2010
Posts
1,716
Reaction score
1,373
Uchaguzi umekuja umepita. CCM wamefanya walivy dhamiria, kutuibia watanzania haki yetu. Kutokana na maguvu na mabavu yao wataendelea kutukandamiza. Tukubali yaishe, lakini njia sasa inaelekea kwenye ukombozi wa kweli.

Itasha mkutano katika viwanja vya jangwani ili kuwashukuru watanzania wote walio kupigia kura. Ndiyo tukutane ili utupatie dira, tunaelekea wapi baada ya haya. Hakika Mungu yuko pamoja nasi na tutashinda tu.
 
honestly, do you think watampa kibali cha kuitisha mkutano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…