Ushauri kwa Sekretarieti ya Ajira Serikalini (PSRS)

Binafsi sijawahi kupata ujumbe wowote ninapo apply wala nipokua shortlisted.
 
Uko sahihi na hoja yako inafanyiwa kazi. Mfumo wa online APTITUDE test system utaanza kujengwa na hivyo kuwafanya waombaji kazi kufanya usaili huko waliko.
 
Du!!! Basi tatizo lako kubwa sana maana hata namba za usaili unapata kwenye account( email) yako sasa hao woote wanaoitwa mbona wanakuja na namba zao.Na hata usipokuwa shortlisted unaelezwa sababu kwenye akaunti yako.
Hapo tatizo ni wewe kabisa labda ulisaidiwa kufungua hiyo akaunti na huisimamii wewe kwahiyo huijui ina features zipi nini na nini.Jipange upya
Binafsi sijawahi kupata ujumbe wowote ninapo apply wala nipokua shortlisted.
 
Du!!! Basi tatizo lako kubwa sana maana hata namba za usaili unapata kwenye account( email) yako sasa hao woote wanaoitwa mbona wanakuja na namba zao.Na hata usipokuwa shortlisted unaelezwa sababu kwenye akaunti yako.
Hapo tatizo ni wewe kabisa labda ulisaidiwa kufungua hiyo akaunti na huisimamii wewe kwahiyo huijui ina features zipi nini na nini.Jipange upya
Binafsi sijawahi kupata ujumbe wowote ninapo apply wala nipokua shortlisted.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…