CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
CWT hakuna msaada wowote kwa mwalimu zaidi ya kumkata kuanzia shilingi elf 15,000 hadi elf 60,000 kwa mwezi kulingana na daraja lake, kisha hizo pesa zinaliwa na wajanja wachache.
Kupitia hizo pesa, chama kimeweza kutengeneza miradi mbalimbali na hadi kufungua bank (MCB) kwa fedha hizi hizi za walimu, na hakuna mwalimu anapata faida hata mia, ila wajanja wachache! Hakuna mwalimu anajua mapato na matumizi ya kila mwezi isipokuwa wajanja wachache tu!
Kwanini chama hiki kisifutwe kisha mali zitaifishwe na kila mwalimu apewe angalau kifuta jasho kufidia machungu?
Kupitia hizo pesa, chama kimeweza kutengeneza miradi mbalimbali na hadi kufungua bank (MCB) kwa fedha hizi hizi za walimu, na hakuna mwalimu anapata faida hata mia, ila wajanja wachache! Hakuna mwalimu anajua mapato na matumizi ya kila mwezi isipokuwa wajanja wachache tu!
Kwanini chama hiki kisifutwe kisha mali zitaifishwe na kila mwalimu apewe angalau kifuta jasho kufidia machungu?