Serikali tangu awamu ya tano haipajandisha mshahara wala kulipa malimbikizo kwa watumishi hata hii ya sita japo inasema wamepandisha lakini ni ongezeko kidogo sana kiasi ambacho hakileti mabadiliko yoyote kwa maisha ya mtumishi japo gharama zinabadilika kila uchao. Pamoja na hayo watumishi wameendelea kuwa waaminifu na kuendelea kufanya kazi kwa uaminifu.
Tumeona baadhi ya mabenki yakishusha kiasi cha riba lakin kitu cha ajabu sana unakwenda kuchukua mkopo pamoja na riba kuwa chini ila shida inakuja unatakiwa ulipe bima ya mkopo kwa mkupuo mmoja jambo hili linaumiza sana japo kabla ilikuwa inalipwa kidogo *2 mpka mkopo unaisha?
Serikali tafadhali ondoeni utaratibu was kulipa bima ya mkopo kwa Mara moja utaratibu huu so rafiki kabisa kwa mtumishi no kandamizi kabisa. Ujumbe uwafikie wahusika.
Tumeona baadhi ya mabenki yakishusha kiasi cha riba lakin kitu cha ajabu sana unakwenda kuchukua mkopo pamoja na riba kuwa chini ila shida inakuja unatakiwa ulipe bima ya mkopo kwa mkupuo mmoja jambo hili linaumiza sana japo kabla ilikuwa inalipwa kidogo *2 mpka mkopo unaisha?
Serikali tafadhali ondoeni utaratibu was kulipa bima ya mkopo kwa Mara moja utaratibu huu so rafiki kabisa kwa mtumishi no kandamizi kabisa. Ujumbe uwafikie wahusika.