Ushauri kwa Simba kwenye sajili za kimataifa

Ushauri kwa Simba kwenye sajili za kimataifa

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
6,967
Reaction score
17,452
ipo hivi nisiwachoshe kihivyo..

simba ni timu kubwa sana Africa kwa sasa hata hivyo kwa sasa timu hii inakabiliwa na changamoto ya kuwa na wachezaji walio chini ya kiwango huu ni ushauri wangu wa jumla.

tujifunze kutoka yanga tusione aibu wenzetu wamefanya maajabu makubwa kwenye mashindano ya kimataifa ebu tujiulize wamefanyajefanyaje..

kifupi tu kwa mtazamo wangu yanga inawachezaji wengi wacongo kwa kweli performance ya wacongo kwenye timu ya yanga ni ya juu sana sio hilo tu kwa kifupi wacongo wanaupambanaji haswa kwa kila jambo wanalodhamiria mfano tunae inonga ni mkongo kila mtu anajua kivumbi cha inonga akiwa uwanjani na jinsi anavyoibeba simba..

sasa kwa kuwa wakongo wanaonesha wapo vizuri sana basi na sisi tusajili wachezaji kutoka huko wanzuri wa kutosha mm naamini hawatatuangusha na tutawashangaza waarabu maana hao ndio kikwazo chetu kikubwa kwenye mashindano ya kimataifa.

tusikimbilie wachezaji wa magharibi hawana kitu na wanawiwango vya kawaida sana.
 
ipo hivi nisiwachoshe kihivyo..

simba ni timu kubwa sana Africa kwa sasa hata hivyo kwa sasa timu hii inakabiliwa na changamoto ya kuwa na wachezaji walio chini ya kiwango huu ni ushauri wangu wa jumla.

tujifunze kutoka yanga tusione aibu wenzetu wamefanya maajabu makubwa kwenye mashindano ya kimataifa ebu tujiulize wamefanyajefanyaje..

kifupi tu kwa mtazamo wangu yanga inawachezaji wengi wacongo kwa kweli performance ya wacongo kwenye timu ya yanga ni ya juu sana sio hilo tu kwa kifupi wacongo wanaupambanaji haswa kwa kila jambo wanalodhamiria mfano tunae inonga ni mkongo kila mtu anajua kivumbi cha inonga akiwa uwanjani na jinsi anavyoibeba simba..

sasa kwa kuwa wakongo wanaonesha wapo vizuri sana basi na sisi tusajili wachezaji kutoka huko wanzuri wa kutosha mm naamini hawatatuangusha na tutawashangaza waarabu maana hao ndio kikwazo chetu kikubwa kwenye mashindano ya kimataifa.

tusikimbilie wachezaji wa magharibi hawana kitu na wanawiwango vya kawaida sana.
Mrudisheni kichuya na ndemla, watawasaidia sana
 
Hapo kuna point mnyama mwenzangu, najaribu kuwaangalia wa-west naona kabisa hawalingani na thamani wanazopewa..mcheki Ki na wengine kama hao
 
Issue kuingiliana kwenye majukumu ndani ya timu. Koacha, benchi la ufundi, scouting unit, mwekezaji. Pia suala la ubahili na kuonekana team inapopata mafanikio tu. Vilevile suala la upendeleo wa malipo kwa wachezaji. Mtu hana kiwango kisa ni mgeni unampa mshahara mlima.
 
Itaje yanga kwa heshima usije ng'ata ulimi. Timu kubwa yenye spirit kubwa. Endeleeni na kauli yenu kuwa kwa mkapa hatoki mtu.
Yanga popote kambi
 
Kuna uwezekano wa 80% msimu ujao simba atatoka kapa kwa mara nyingine tena. Yaani haitachukua kikombe chochote kile.

Na hii ni kutokana na ukweli kwamba hiyo timu inaendeshwa kihuni huni tu, na pia imekuwa ikificha madhaifu yake kupitia mafanikio ya Yanga.

 
Back
Top Bottom