Ushauri kwa Simba SC: Mechi ya jana iwe ni tahadhari na fundisho kwenu

Ushauri kwa Simba SC: Mechi ya jana iwe ni tahadhari na fundisho kwenu

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Kwema Wakuu,

Na declare interest, Mimi ni mshabiki na mwanachama hai wa Simba Sport Club, hivyo Tahadhari na ushauri huu ninautoa Kwa nia njema kabisa Kwa lengo la kujenga timu yetu.

Watani zetu Yanga walicheza hapo juzi na Azam wakafanikiwa kushinda mechi yao lakini sisi tukaishia ku droo na Singida. Ina maana ingekua ni ligi tayari Yanga ana points 3, sisi na Singida point 1 Kila mmoja na Azam 0.

Msimu ulioisha wa NBC Premier League, Simba ndio iliyokua imefunga magoli mengi kuliko timu ingine yoyote ile, na pia ndio timu iliyokua imefungwa magoli machache kuliko timu ingine yoyote ile, lakini haikufanikiwa kupata ubingwa. Sababu ni kua sare zilikua nyingi pia.

Sisemi Singida ni wabovu hivyo ilipaswa wafungwe tu, lakini Simba inabidi ijifunze na ijitahidi iwe inamaliza biashara mapema. Ukicheza mechi tatu uka suluhu zote huna tofauti na yule alieshinda mechi moja akafungwa mbili zilizobaki.

Sare chache zinakubalika lakini Kwa timu unayotaka kuwa bingwa basi hizi sare ziwe ni wachezaji wame fight Kwa uwezo wao wote. All in all mpira unadunda na pia una matokeo matatu,

# SimbaNguvuMoja
 
Kwema Wakuu,
Ina maana ingekua ni ligi tayari Yanga ana points 3, sisi na Singida point 1 Kila mmoja na Azam 0.
na kama ingekuwa ni ligi basi hata Simba ingecheza na Azam na Yanga, pia Yanga ingecheza na Singida FG na Simba, na Azam ingecheza na Simba na Singida FG. Hauwezi ukalinganisha matokeo ya mzunguko mmoja halafu useme eti 'kama ingekuwa ni ligi'
 
Umeandika vizuri usiwe na hofu kwakua katika ile Bilion 3 ya usajili aliyotoa mwekezaji na marefa pia wanahusika.
Refa apewe maua yake [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwema Wakuu,

Na declare interest, Mimi ni mshabiki na mwanachama hai wa Simba Sport Club, hivyo Tahadhari na ushauri huu ninautoa Kwa nia njema kabisa Kwa lengo la kujenga timu yetu.

Watani zetu Yanga walicheza hapo juzi na Azam wakafanikiwa kushinda mechi yao lakini sisi tukaishia ku droo na Singida. Ina maana ingekua ni ligi tayari Yanga ana points 3, sisi na Singida point 1 Kila mmoja na Azam 0.

Msimu ulioisha wa NBC Premier League, Simba ndio iliyokua imefunga magoli mengi kuliko timu ingine yoyote ile, na pia ndio timu iliyokua imefungwa magoli machache kuliko timu ingine yoyote ile, lakini haikufanikiwa kupata ubingwa. Sababu ni kua sare zilikua nyingi pia.

Sisemi Singida ni wabovu hivyo ilipaswa wafungwe tu, lakini Simba inabidi ijifunze na ijitahidi iwe inamaliza biashara mapema. Ukicheza mechi tatu uka suluhu zote huna tofauti na yule alieshinda mechi moja akafungwa mbili zilizobaki.

Sare chache zinakubalika lakini Kwa timu unayotaka kuwa bingwa basi hizi sare ziwe ni wachezaji wame fight Kwa uwezo wao wote. All in all mpira unadunda na pia una matokeo matatu,

# SimbaNguvuMoja
Wachezaji walipambana ila shida ni moja, upangaji wa kikosi bado ni shida kubwa sana pale Simba. Kuanzia Saido, Boko hadi Zimbwe, timu imekuwa sikio la kufa....Wengine taratibu tunaanza kuweka hisia zetu pembeni maana yajayo yanafurahisha.
 
Kwema Wakuu,

Na declare interest, Mimi ni mshabiki na mwanachama hai wa Simba Sport Club, hivyo Tahadhari na ushauri huu ninautoa Kwa nia njema kabisa Kwa lengo la kujenga timu yetu.

Watani zetu Yanga walicheza hapo juzi na Azam wakafanikiwa kushinda mechi yao lakini sisi tukaishia ku droo na Singida. Ina maana ingekua ni ligi tayari Yanga ana points 3, sisi na Singida point 1 Kila mmoja na Azam 0.

Msimu ulioisha wa NBC Premier League, Simba ndio iliyokua imefunga magoli mengi kuliko timu ingine yoyote ile, na pia ndio timu iliyokua imefungwa magoli machache kuliko timu ingine yoyote ile, lakini haikufanikiwa kupata ubingwa. Sababu ni kua sare zilikua nyingi pia.

Sisemi Singida ni wabovu hivyo ilipaswa wafungwe tu, lakini Simba inabidi ijifunze na ijitahidi iwe inamaliza biashara mapema. Ukicheza mechi tatu uka suluhu zote huna tofauti na yule alieshinda mechi moja akafungwa mbili zilizobaki.

Sare chache zinakubalika lakini Kwa timu unayotaka kuwa bingwa basi hizi sare ziwe ni wachezaji wame fight Kwa uwezo wao wote. All in all mpira unadunda na pia una matokeo matatu,

# SimbaNguvuMoja
Match ya Azam uliiangalia???

Singida wametupa game nzuri sana.

Yanga wangekuwa makini wangeshinda goal nyingi sana.
 
Wachezaji walipambana ila shida ni moja, upangaji wa kikosi bado ni shida kubwa sana pale Simba. Kuanzia Saido, Boko hadi Zimbwe, timu imekuwa sikio la kufa....Wengine taratibu tunaanza kuweka hisia zetu pembeni maana yajayo yanafurahisha.
Scouting na Management ya simba kuna shida kubwa,
Assumption walikua na 3B za kusajili je wamesajili kwa ajili ya kufikia malengo gani?
Kwa mpira huu wa kasi na kutumia nguvu Saido dakika 90 hawezi, usajili wa mbadala wa Balala na Kapombe sio wa viwango!
Jana mapema Mohamed hakua vizuri lakini bado aliendelea dakika zote..kwa ufupi hizi match ni kipimo kizuri cha madhaifu ya team yetu
 
Nilivyomuona yule anayejiita scout bench la Simba jana nikamkumbuka Sawadogo na Bongozozo.
 
Ukiona umetumia b3 kusajiri wachezaji 13 uwezi kuwa na timu nzuri mchezaji mzuri Mmoja tu anagharimu b1 adi mil 800 wewe b3 unatumia kwa wachezazi 13 then wajisifu umesajili vizuri wapi
Sisi bongo bado uwekezaji wetu mdogo sana alafu tunamatamanio makubwa wenzetu wanasajiri mchezaji Mmoja kwa b6 alafu eti ndo tunataka tushindane nao tucheze fainal ya caf cc, na tuchukue ikiwezekana tunaota sana
 
Huyu kolo mwenzenu ndio aliyewabeba zaidi ya hapo jana mlikuwa mmeshakufa dakika ya 5 tu ya mchezo.
F3OibCbWIAAk3AD.jpg
 
Back
Top Bottom