Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Nimepita daraja la Wami Dakawa, nikapita daraja la Ferry Dumila, nikapita madaraja ya Kitete, Msowero, Mvumi na Rudewa barabara ya Dumila Kilosa nikajifunza kuwa madaraja ya njia hiyo yaliinuliwa juu sana kiasi kwamba siyo rahisi kuathiriwa na mafuriko ikiwa mvua kubwa zitanyesha Kiteto, Gairo na kwingineko.
Ushauri wangu ni kuwa ijengwe barabara ya dharura yenye madaraja yaliyoinuka kama yale ya Kilosa kuanzia Rudewa hadi Mangae au Melela Mlandizi ili ikitokea madaraja ya Ferry na Wami (Morogoro to Dodoma Highway) yamekatika au kufunikwa na mafuriko, iwe rahisi kuhama njia na kupita Morogoro -Iringa Highway.
Nb.
Tukosoane kiistaarabu siyo matusi
Nawasilisha
Ushauri wangu ni kuwa ijengwe barabara ya dharura yenye madaraja yaliyoinuka kama yale ya Kilosa kuanzia Rudewa hadi Mangae au Melela Mlandizi ili ikitokea madaraja ya Ferry na Wami (Morogoro to Dodoma Highway) yamekatika au kufunikwa na mafuriko, iwe rahisi kuhama njia na kupita Morogoro -Iringa Highway.
Nb.
Tukosoane kiistaarabu siyo matusi
Nawasilisha