Ili kuhakikisha uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2025 unakuwa HURU na HAKI hakikisheni mnaajiri wahitimu wa Vyuo mbalimbali waliopo mitaani na kamwe ajira hizi zisitolewe kwa Watumishi wa Serikali.
Wapinzani wamelalamika sana juu ya mwenendo mzima uliosimamia chaguzi zilizopita kuwa zilikuwa za upendeleo zikisimamiwa na Watumishi wa Serikali.
Pia soma > Pre GE2025 - Ushauri wa upendo kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)
Wapinzani wamelalamika sana juu ya mwenendo mzima uliosimamia chaguzi zilizopita kuwa zilikuwa za upendeleo zikisimamiwa na Watumishi wa Serikali.
Pia soma > Pre GE2025 - Ushauri wa upendo kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)