Ni jambo la busara kuwawezesha akina Mama katika uteuzi wa viti maalum Bungeni. Wanapokuwa Bungeni wanapata uzoefu jinsi ya kuongoza na kuishi na jamii kwa ujumla.
Pamoja na mazuri yote wanayofanya akina mama wanaoteuliwa kwa njia ya Viti maalum NINAPENDEKEZA kuwa uteuzi wa Viti Maalum kwa akina mama udumu kwa muhula moja tu wa Bunge yaani miaka mitano na kuwaachia wengine pia waingie Bungeni kupata uzoefu.
Napendekeza kuwa wale waliomaliza miaka mitano Bungeni na tayari wamepata uzoefu sasa warudi kwenye Majimbo na kuchukua fomu ili wapambane kama ilivyo kwa wanaume.
Pamoja na mazuri yote wanayofanya akina mama wanaoteuliwa kwa njia ya Viti maalum NINAPENDEKEZA kuwa uteuzi wa Viti Maalum kwa akina mama udumu kwa muhula moja tu wa Bunge yaani miaka mitano na kuwaachia wengine pia waingie Bungeni kupata uzoefu.
Napendekeza kuwa wale waliomaliza miaka mitano Bungeni na tayari wamepata uzoefu sasa warudi kwenye Majimbo na kuchukua fomu ili wapambane kama ilivyo kwa wanaume.