naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 410
- 987
Nawashauri wadogo zangu wanaotafuta ajira na waliotayari wameshapata ajira za serikali kua MKOPO NI MMOJA TU kwenye maisha yako ya utumishi na ni ule mkopo wa kwanza kuchukua kwenye taasisi yoteyoe ya fedha.
Mikopo mingine utakayokua unachukua ni ile wanaaiita TOP UP ambayo ni kiasi kidogo sana ambacho ni ngumu sana kukuvusha kwenye changamoto zako.
Hivyo nawaomba mnapoenda kukopa muwe na vya kufanyia na sio kujenga nyumba na kununua magari mwisho wa siku mnaishi kwa shida uku mtaani,
ni hayo tu.
Naliwe wa lumumba.
Mikopo mingine utakayokua unachukua ni ile wanaaiita TOP UP ambayo ni kiasi kidogo sana ambacho ni ngumu sana kukuvusha kwenye changamoto zako.
Hivyo nawaomba mnapoenda kukopa muwe na vya kufanyia na sio kujenga nyumba na kununua magari mwisho wa siku mnaishi kwa shida uku mtaani,
ni hayo tu.
Naliwe wa lumumba.