Hivyo wanja hauna tatizo kiafya Mkuu?Paka mafuta.. Chora na wanja.. Ni basi tu wanaume hawana nongwa.. Ila mtu unamkuta na domo jekunduu km kidonda.. Siwasemi ubaya sema ukiwa tu msafi inatosha.. Hayo ma lipstick hata sio kiviiile.
Mie pia mtu wa Pwani Mkuu ndio sababu nikasema sikumaanisha hayo.Umeelewa lakini maana yake?
Kwa watu wa Pwani Utoko ni yale maji au Marenda anayotoka mwanamke. Wapi utajua mwenyewe
Sijakugomba nimekwambia tu, mimi ni mtu wa pwani tena Muislamu.Mie pia mtu wa Pwani Mkuu ndio sababu nikasema sikumaanisha hayo.
Kwaheri. [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Hatupingi ila tumewaona Mama zetu wanawaka waka na wala hakuna Lipstick saana wanja ambao ni ranging nyeusi na mafuta sio?Hivyo wanja hauna tatizo kiafya Mkuu?
Hahahaaa ila ni ngumu aisee kwa mfano unakwenda kwenye sherehe kwa usiku mmoja ndani ya Wiki sidhani kama domo kuwa jekundu kwa muda ni mbaya sababu tukishatoka shereheni tunaoga na kutoa mirangi yote.
Pia niseme mkuu lipstick haifanyi mwanamke akawa mchafu bwana
Hahaa ukiwa sungura mambo kama hayo unapangua vizuri tu bila tabu.Lipstick ni kiboko kwa kuharibu ndoa za watu hasa wanaume wachepukaju,akienda kwa kimwali kingine kinamkiss begani haha akirudi kwa mkewe anaulizwa hii lipstick kwenye shati umetoa wapi,na hapo ndo vita ya tatu ya dunia inapoanza
Sawa Mkuu ahsante kwa ushauri. Pia nadhani kwa ulichoandika watakuelewa wengi japokuwa nje ya lipstick hivyo vingine naviona kwa marafiki tu sababu sina ushabiki navyo.Hatupingi.. Ila tumewaona Mama zetu wanawaka waka na wala hakuna Lipstick.. Saana wanja.. Ambao ni ranging nyeusi na mafuta sio?!
Hakuna kitu kizuri kama kuonekana mrembo ukiwa karibia na uasilia wako. Hii ppda mpaka unakuwa kama ubao wa shule.. Na nywele za katani kama umebeba mzigo..
Hizi rangi zikiwa zinaelekea na uasilia mnapendeza zaidi.. Na huenda zinakuwaga ghali pia.. Maana unawaona wanaojielewa sana tu ndio wanazitumia..
Sasa kweli ukawe na mdomo wa zambarau, mwekundu, Wa blue, wa rangi ya kitu.. Mara kijani..njano binaadamu wa namna gani Huyo mama!?
Hahaha, muweke mafuta tu mbona mnapendeza sana... Hizi rangi nyingine zinaonekana way unnatural.. Wao huko ulaya wengine wana midomo myekundu..sasa tusiige.. Mungu Fundi huwezi kumkuta MTU anakucha nyeusi na macho mekundu na akawa na afya njema.. Kila kitu kina hue and shades na mungu amezingatia..
Pigeni chini hayo madubuwasha.. Weka mafuta ukiongeza weka nywele za Uzi swaaaafi kbsa.. Hayo madude ya midoli waachieni hao wazungu..
😉
Insh'Allah Mwenyezi Mungu akufanyieni wepesi mrejeshe nuru ya uafrika halisiSawa Mkuu ahsante kwa ushauri. Pia nadhani kwa ulichoandika watakuelewa wengi japokuwa nje ya lipstick hivyo vingine naviona kwa marafiki tu sababu sina ushabiki navyo.
Ila nimecheka lol "eti tupeni chini hayo madubwasha" hahahaaa.
Amiin. Insha Allah. [emoji120] [emoji120] [emoji120]Insh'Allah Mwenyezi Mungu akufanyieni wepesi.. mrejeshe nuru ya uafrika halisi.
Naona kalipstik umekafanyia Mgomo. 🙂
Aiseeh hiyo kitu kupaka mdomoni ilinishinda kabisa, nilishawahi kujaribu kwa kufata mkumbo wa marafiki lakini niliishia kujifuta tuu. Kwanza nikikutana na mtu akanitazama uwiii najiskia vibaya naona kama nimekuwa kituko fulani.Salam zenu wanajf
Leo nataka niwaelimishe wadada wanaopenda kupaka lipsticks mdomoni.
Moja ya vitu vinavyounda lipsticks ni heavy metals kama vile mercury na silver.
Madhara yake ni nini?
Mwili wa binadamu una protein ambayo hutengeneza kinga za mwili( antibodies). Sasa hizo heavy metals zinaharibu( denature) protein na enzymes.
Hivyo basi baada ya muda binti unaanza kusumbuliwa na maradhi ya ajabu ajabu kama cancer.
Hitimisho: Wadada muache kutumia hizi lipsticks no hatari kwa afya zenu.Pia mwanaume muokoe mpenzi wako kwa kumkataza kutumia lipsticks
ASIYE SIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
Sawa nimekuelewa Mkuu. Nisamehe kwa hilo pia nisharekebisha.Sijakugomba nimekwambia tu, mimi ni mtu wa pwani tena Muislamu.
Na wewe nimehisi kama ni Muislamu
Mdomo wa mwanaume haufananagi na wa mwanamke, madam!!Mmh! Mie bado kushawishika kuacha kwa kweli sababu mizunguko yangu yote lazima lipstick ihusike.
Mie nadhani mtushauri tusipake mara kwa mara na sio kuacha kabisa sababu mkisema tuache tofauti ya mdomo wa mwanaume na mwanamke itakuwa wapi.
Hahaaa unauhakika Mkuu?Mdomo wa mwanaume haufananagi na wa mwanamke, madam!!
Wengi wanaopaka ni waliosoma artAiseeh hiyo kitu kupaka mdomoni ilinishinda kabisa, nilishawahi kujaribu kwa kufata mkumbo wa marafiki lakini niliishia kujifuta tuu. Kwanza nikikutana na mtu akanitazama uwiii najiskia vibaya naona kama nimekuwa kituko fulani.
Mie mafuta na wanja kwangu burudani kabisa. Ila wakipaka wenzangu naona wanapendeza kwelikweli, labda ni kwasababu sio kila kitu ni kwa ajili ya kila mtu.
Ha ha ha ha ha nimecheka hapo kwenye tofauti ya mdomo wa KE na ME.Mmh! Mie bado kushawishika kuacha kwa kweli sababu mizunguko yangu yote lazima lipstick ihusike.
Mie nadhani mtushauri tusipake mara kwa mara na sio kuacha kabisa sababu mkisema tuache tofauti ya mdomo wa mwanaume na mwanamke itakuwa wapi.