Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Ha ha ha haMi siwezi kuacha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hatupingi.. Ila tumewaona Mama zetu wanawaka waka na wala hakuna Lipstick.. Saana wanja.. Ambao ni ranging nyeusi na mafuta sio?!
Hakuna kitu kizuri kama kuonekana mrembo ukiwa karibia na uasilia wako. Hii ppda mpaka unakuwa kama ubao wa shule.. Na nywele za katani kama umebeba mzigo..
Hizi rangi zikiwa zinaelekea na uasilia mnapendeza zaidi.. Na huenda zinakuwaga ghali pia.. Maana unawaona wanaojielewa sana tu ndio wanazitumia..
Sasa kweli ukawe na mdomo wa zambarau, mwekundu, Wa blue, wa rangi ya kitu.. Mara kijani..njano binaadamu wa namna gani Huyo mama!?
Hahaha, muweke mafuta tu mbona mnapendeza sana... Hizi rangi nyingine zinaonekana way unnatural.. Wao huko ulaya wengine wana midomo myekundu..sasa tusiige.. Mungu Fundi huwezi kumkuta MTU anakucha nyeusi na macho mekundu na akawa na afya njema.. Kila kitu kina hue and shades na mungu amezingatia..
Pigeni chini hayo madubuwasha.. Weka mafuta ukiongeza weka nywele za Uzi swaaaafi kbsa.. Hayo madude ya midoli waachieni hao wazungu..
😉
Hahahaa mwisho wa siku wote tutakufa hakuna atakayebaki.Huyo mwenzio soon cancer ita mhusu
Eti kasema tupake mate mmh.Naaam...ndo uandishi mzuri na ndiyo uchambuzi mzuri.
Hasa huko home mtateseka dada zetu.[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mateeeee. Kisaaaaa?
Mleta uzi una utani yaani na hiki kibaridi ya nini kubabuka mdomo.
Uweeeeee labda uyo mke awe mpole kweli kweli,lipstick kwenye shati utajitetea nini mkuu?kwamba ulibanana na watu kwenye daladala??Hahaa... Ukiwa sungura mambo km hayo unapangua vizuri tu bila tabu.
Umeonaeee. Watupe mbadala tu kwa kweli.Hasa huko home mtateseka dada zetu.
Bora uache mkuu hatutaki kukupotezaAsante mm naacha kuanzia leo
Hahahaaaa. Nadhani pia. [emoji85]Ina maana midomo yenu iko weak mbona sisi hatupaki chochote na tuko vizuri tu?
Ndo ujue tofauti ya sisi na dada zetu mkuu.Ina maana midomo yenu iko weak mbona sisi hatupaki chochote na tuko vizuri tu?
Komaa nae, akikupa mbadala sahihi utanitag.Umeonaeee. Watupe mbadala tu kwa kweli.
Kwani unadhani na mie naoa mwanamke mtata!!? [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uweeeeee labda uyo mke awe mpole kweli kweli,lipstick kwenye shati utajitetea nini mkuu?kwamba ulibanana na watu kwenye daladala??
Nimekwambia paka korie ndugu yangu.Umeonaeee. Watupe mbadala tu kwa kweli.
Sawa ila kuna vitu ni more dangerous kuliko wanavyofikiri.Ndo ujue tofauti ya sisi na dada zetu mkuu.
MwenyeziMungu katuumba tofauti sana.
Wanatakiwa wajikwatue pasipo kuvuka mipaka yake ili na wewe uridhike.
[emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113]