Nimefanya utafiti nikagundua njia moja nzuri sana ya kupatia "value for money".
Hatua zifuatazo zifuatwe:
1. Ichaguliwe taasisisi inayoaminika, mfano TAKUKURU
2. Izungukie taasisi zote na kupatia mahitaji Yao yote yanayohusika na manunuzi kwa mwaka mzima.
2. Itangaze Zabuni, na kufanya evaluation na kuteuwa washindi
3. Iwagrupu washindi 20 Kila item inayohusika
4. Baada ya hapo, taasisi zote ziwe zinapeleka mahitaji Yao kule, yaani kwa mfano TAKUKURU.
4. Hiyo taasisi iliyoteuliwa ndivyo inaamua impe nani Zabuni hiyo kutokea kwenye listi yake, na kimpelekea mwombaji 'signed order form" ikionyesha unit price kwa Kila item/BoQ iliyoombwa.
Kwa mtimdo huu hataibiwa mtu!!
Hatua zifuatazo zifuatwe:
1. Ichaguliwe taasisisi inayoaminika, mfano TAKUKURU
2. Izungukie taasisi zote na kupatia mahitaji Yao yote yanayohusika na manunuzi kwa mwaka mzima.
2. Itangaze Zabuni, na kufanya evaluation na kuteuwa washindi
3. Iwagrupu washindi 20 Kila item inayohusika
4. Baada ya hapo, taasisi zote ziwe zinapeleka mahitaji Yao kule, yaani kwa mfano TAKUKURU.
4. Hiyo taasisi iliyoteuliwa ndivyo inaamua impe nani Zabuni hiyo kutokea kwenye listi yake, na kimpelekea mwombaji 'signed order form" ikionyesha unit price kwa Kila item/BoQ iliyoombwa.
Kwa mtimdo huu hataibiwa mtu!!