Ushauri kwa wafanyabiashara kwenye kodi

Ushauri kwa wafanyabiashara kwenye kodi

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Naomba niwape ushauri wale wote wafanyabiashara hasa ambao wana biashara mpya kuhusu maswala ya kodi.

Watu wengi wameshangaa kuona Diamond wa wasafi media ana lalamikia TRA hili ni swala la kawaidia kwa wale wasio na uzoefu wa kulipa kodi na kuendesha kampuni.

Mawazo yangu ni marahisi sana lakini ni muhimu sana;

1. Kampuni iwe na CPA maalumu wa kushughulikia kodi na mafao ya wafanyakazi. Huyu awe mtu mwenye uzoefu wa kodi na awe CPA.

2.wakurugenzi wakae na CPA wao kujadili mambo ya kodi mwanzo wa mwaka na kuweka mpango wa mwaka mzima mfano kuna njia kama za kufungua NGO ambazo zinaweza kipunguza kodi lakini huwezi kusubiri mwisho wa mwaka kufanya.

3. Kuwe na ripoti ya kampuni ya matumizi na mapato pamoja na kodi . Income statement kila miezi mitatu na sio mara moja kwa mwaka ili wadau na wamiliki wajue kampuni inaendeleaje na kodi zikoje badala ya kusubiri mwisho wa mwaka.

4. Muongeaji na mwakilishi wa mambo ya pesa ya kampuni awe CPA na awe anawasiliana moja kwa moja na TRA. Hivyo watu wa kodi wakija kwenye kampuni wapewe namba ya CPA badala ya kukutana na viongozi ambao hawajui mambo ya kodi.

5. Ni lazima CPA atoe elimu ya kodi ambayo inaitwa “withholding tax” hii wengi wanajichanganya na hawaielewi mfano kama una radio na kampuni ikaja kutangaza tangazo la ths 1m ni lazima ujue kodi ni tsh 180,000 na hiyo sio pesa yako ni ya serikali “TRA” na wewe unaishikilia “ withholding “ kwa niaba yao.

Hiyo sio pesa yako kisheria! Ndiyo maana Diamond analaumu wame freeze account maana kisheria tayari umechukuwa pesa yao TRA na kama ume toa risiti na kuthibitisha umeuza tsh 1m basi tsh 180,000 unatakiwa kuwa nayo kisheria. Hii sio pesa ya kutafuta!

Hayo ni mawazo ya bure huwezi kumuoma Azam ana lalamika kuhusu kodi kwasababu ana team na idara ya accountant kubwa yenye CPA wa kufuatilia haya maswala. Tatizo la kutokuwa na CPA utalipa kodi nyingi sana bila kujua.
 
CPA ya kushauri tu lakini ikashindwa kuanzisha Biashara yake ikasimama,ni useless, wako wahasibu Makini wasio na CPA lakini Kazi zao ni bora.pia TRA wapo wazi kutoa ushauri bila malipo
 
Naomba niwape ushauri wale wote wafanyabiashara hasa ambao wana biashara mpya kuhusu maswala ya kodi.

Watu wengi wameshangaa kuona Diamond wa wasafi media ana lalamikia TRA hili ni swala la kawaidia kwa wale wasio na uzoefu wa kulipa kodi na kuendesha kampuni.

Wazo yangu ni marahisi sana lakini ni muhimu sana

1. Kampuni iwe na CPA maalumu wa kushughulikia kodi na mafao ya wafanyakazi. Huyu awe mtu mwenye uzoefu wa kodi na awe CPA
2.wakurugenzi wakae na CPA wao kujadili mambo ya kodi mwanzo wa mwaka na kuweka mpango wa mwaka mzima mfano kuna njia kama za kufungua NGO ambazo zinaweza kipunguza kodi lakini huwezi kusubiri mwisho wa mwaka kufanya
3. Kuwe na ripoti ya kampuni ya matumizi na mapato pamoja na kodi . Income statement kila miezi mitatu na sio mara moja kwa mwaka ili wadau na wamiliki wajue kampuni inaendeleaje na kodi zikoje badala ya kusubiri mwisho wa mwaka
4. Muongeaji na mwakilishi wa mambo ya pesa ya kampuni awe CPA na awe anawasiliana moja kwa moja na TRA. Hivyo watu wa kodi wakija kwenye kampuni wapewe namba ya CPA badala ya kukutana na viongozi ambao hawajui mambo ya kodi
5. Ni lazima CPA atoe elimu ya kodi ambayo inaitwa “withholding tax” hii wengi wanajichanganya na hawaielewi mfano kama una radio na kampuni ikaja kutangaza tangazo la ths 1m ni lazima ujue kodi ni tsh 180,000 na hiyo sio pesa yako ni ya serikali “TRA” na wewe unaishikilia “ withholding “ kwa niaba yao. Hiyo sio pesa yako kisheria! Ndiyo maana Diamond analaumu wame freeze account maana kisheria tayari umechukuwa pesa yao TRA na kama ume toa risiti na kuthibitisha umeuza tsh 1m basi tsh 180,000 unatakiwa kuwa nayo kisheria. Hii sio pesa ya kutafuta!.

Hayo ni mawazo ya bure huwezi kumuoma Azam ana lalamika kuhusu kodi kwasababu ana team na idara ya accountant kubwa yenye CPA wa kufuatilia haya maswala. Tatizo la kutokuwa na CPA utalipa kodi nyingi sana bila kujua
Mkuu usiumize kichwa na vikampuni mchwara, bodi inaongozwa na wasio Soma waliosoma wachache kuliko wasio Soma
Halafu waliosom hakun mwenye uzoefu hata wa 10+ years pale
 
Naomba niwape ushauri wale wote wafanyabiashara hasa ambao wana biashara mpya kuhusu maswala ya kodi.

Watu wengi wameshangaa kuona Diamond wa wasafi media ana lalamikia TRA hili ni swala la kawaidia kwa wale wasio na uzoefu wa kulipa kodi na kuendesha kampuni.

Wazo yangu ni marahisi sana lakini ni muhimu sana

1. Kampuni iwe na CPA maalumu wa kushughulikia kodi na mafao ya wafanyakazi. Huyu awe mtu mwenye uzoefu wa kodi na awe CPA
2.wakurugenzi wakae na CPA wao kujadili mambo ya kodi mwanzo wa mwaka na kuweka mpango wa mwaka mzima mfano kuna njia kama za kufungua NGO ambazo zinaweza kipunguza kodi lakini huwezi kusubiri mwisho wa mwaka kufanya
3. Kuwe na ripoti ya kampuni ya matumizi na mapato pamoja na kodi . Income statement kila miezi mitatu na sio mara moja kwa mwaka ili wadau na wamiliki wajue kampuni inaendeleaje na kodi zikoje badala ya kusubiri mwisho wa mwaka
4. Muongeaji na mwakilishi wa mambo ya pesa ya kampuni awe CPA na awe anawasiliana moja kwa moja na TRA. Hivyo watu wa kodi wakija kwenye kampuni wapewe namba ya CPA badala ya kukutana na viongozi ambao hawajui mambo ya kodi
5. Ni lazima CPA atoe elimu ya kodi ambayo inaitwa “withholding tax” hii wengi wanajichanganya na hawaielewi mfano kama una radio na kampuni ikaja kutangaza tangazo la ths 1m ni lazima ujue kodi ni tsh 180,000 na hiyo sio pesa yako ni ya serikali “TRA” na wewe unaishikilia “ withholding “ kwa niaba yao. Hiyo sio pesa yako kisheria! Ndiyo maana Diamond analaumu wame freeze account maana kisheria tayari umechukuwa pesa yao TRA na kama ume toa risiti na kuthibitisha umeuza tsh 1m basi tsh 180,000 unatakiwa kuwa nayo kisheria. Hii sio pesa ya kutafuta!.

Hayo ni mawazo ya bure huwezi kumuoma Azam ana lalamika kuhusu kodi kwasababu ana team na idara ya accountant kubwa yenye CPA wa kufuatilia haya maswala. Tatizo la kutokuwa na CPA utalipa kodi nyingi sana bila kujua
Matajiri wa Kiswahili huwa wanadharau sana wasomi,wanaamini pesa Yao ndiyo kila kitu.Wana ushamba wenye upako wa confidence hatari!
 
CPA ya kushauri tu lakini ikashindwa kuanzisha Biashara yake ikasimama,ni useless, wako wahasibu Makini wasio na CPA lakini Kazi zao ni bora.pia TRA wapo wazi kutoa ushauri bila malipo
Kwaiyo ukiwa na CPA basi unaweza kuanzisha Biashara ikasimama?Siyo kila mtu anaweza kufanya Biashara Mkuu, ndiyo maana kuna Wakulima,Wavuvi,Wafugaji nk.CPA kwa taaluma yake anafaa kushauri kitaalamu akapata ujira wake.
 
Naomba niwape ushauri wale wote wafanyabiashara hasa ambao wana biashara mpya kuhusu maswala ya kodi.

Watu wengi wameshangaa kuona Diamond wa wasafi media ana lalamikia TRA hili ni swala la kawaidia kwa wale wasio na uzoefu wa kulipa kodi na kuendesha kampuni.

Wazo yangu ni marahisi sana lakini ni muhimu sana

1. Kampuni iwe na CPA maalumu wa kushughulikia kodi na mafao ya wafanyakazi. Huyu awe mtu mwenye uzoefu wa kodi na awe CPA
2.wakurugenzi wakae na CPA wao kujadili mambo ya kodi mwanzo wa mwaka na kuweka mpango wa mwaka mzima mfano kuna njia kama za kufungua NGO ambazo zinaweza kipunguza kodi lakini huwezi kusubiri mwisho wa mwaka kufanya
3. Kuwe na ripoti ya kampuni ya matumizi na mapato pamoja na kodi . Income statement kila miezi mitatu na sio mara moja kwa mwaka ili wadau na wamiliki wajue kampuni inaendeleaje na kodi zikoje badala ya kusubiri mwisho wa mwaka
4. Muongeaji na mwakilishi wa mambo ya pesa ya kampuni awe CPA na awe anawasiliana moja kwa moja na TRA. Hivyo watu wa kodi wakija kwenye kampuni wapewe namba ya CPA badala ya kukutana na viongozi ambao hawajui mambo ya kodi
5. Ni lazima CPA atoe elimu ya kodi ambayo inaitwa “withholding tax” hii wengi wanajichanganya na hawaielewi mfano kama una radio na kampuni ikaja kutangaza tangazo la ths 1m ni lazima ujue kodi ni tsh 180,000 na hiyo sio pesa yako ni ya serikali “TRA” na wewe unaishikilia “ withholding “ kwa niaba yao. Hiyo sio pesa yako kisheria! Ndiyo maana Diamond analaumu wame freeze account maana kisheria tayari umechukuwa pesa yao TRA na kama ume toa risiti na kuthibitisha umeuza tsh 1m basi tsh 180,000 unatakiwa kuwa nayo kisheria. Hii sio pesa ya kutafuta!.

Hayo ni mawazo ya bure huwezi kumuoma Azam ana lalamika kuhusu kodi kwasababu ana team na idara ya accountant kubwa yenye CPA wa kufuatilia haya maswala. Tatizo la kutokuwa na CPA utalipa kodi nyingi sana bila kujua


Withholding tax ni matangazo Tu?
Au maeneo yapi Yana Kodi hiyo?
Media Kwa ujumla zina Kodi Aina zipi?
 
Kulipa kodi hakuhitaji CPA bwashee

Hata baba Levo anatisha sana kama anajua Magazijuto
Sija sema kulipa kodi unahitaji CPA lakini bila ushauri unaweza ukawa na madeni mengi ya kodi bila kuelewa ndiyo maana wanaishia kufungiwa accountant za bank maana unaoambiwa ulipe tsh 700 M kwa siku 30 kama hujui nyuma wala mbele ya biashara yako unafungiwa biashara
 
Withholding tax ni matangazo Tu?
Au maeneo yapi Yana Kodi hiyo?
Media Kwa ujumla zina Kodi Aina zipi?


Withholding tax maana yake ni kushika tax kwa niaba ya serikali TRA mfano ukienda kununua mafuta ya gari ya ths 10,000 VAT ni 18% au 1,800 hivyo TRA wakija ni lazima uwe na hiyo 1,800. Kitendo cha wewe kukaa na hii kodi ya TRA ndiyo tunaita withholding yaani kwa niaba ya …. Sasa hawa wakina Diamond mfano kama wameonyesha wana atangazo ya tsh 2 billion kwa mwaka maana yake VAT ni ths 360M sasa wakija ni lazima uwe na hiyo pesa maana imeshalipwa na sio yako usikokuwa nayo wanaweza ku freeze accountant na ni kisheria kabisa. Kama huna wataalamu haya yanaweza kutokea. Kodi ya VAT sio pesa yako kabisa
 
Naomba niwape ushauri wale wote wafanyabiashara hasa ambao wana biashara mpya kuhusu maswala ya kodi.

Watu wengi wameshangaa kuona Diamond wa wasafi media ana lalamikia TRA hili ni swala la kawaidia kwa wale wasio na uzoefu wa kulipa kodi na kuendesha kampuni.

Wazo yangu ni marahisi sana lakini ni muhimu sana

1. Kampuni iwe na CPA maalumu wa kushughulikia kodi na mafao ya wafanyakazi. Huyu awe mtu mwenye uzoefu wa kodi na awe CPA
2.wakurugenzi wakae na CPA wao kujadili mambo ya kodi mwanzo wa mwaka na kuweka mpango wa mwaka mzima mfano kuna njia kama za kufungua NGO ambazo zinaweza kipunguza kodi lakini huwezi kusubiri mwisho wa mwaka kufanya
3. Kuwe na ripoti ya kampuni ya matumizi na mapato pamoja na kodi . Income statement kila miezi mitatu na sio mara moja kwa mwaka ili wadau na wamiliki wajue kampuni inaendeleaje na kodi zikoje badala ya kusubiri mwisho wa mwaka
4. Muongeaji na mwakilishi wa mambo ya pesa ya kampuni awe CPA na awe anawasiliana moja kwa moja na TRA. Hivyo watu wa kodi wakija kwenye kampuni wapewe namba ya CPA badala ya kukutana na viongozi ambao hawajui mambo ya kodi
5. Ni lazima CPA atoe elimu ya kodi ambayo inaitwa “withholding tax” hii wengi wanajichanganya na hawaielewi mfano kama una radio na kampuni ikaja kutangaza tangazo la ths 1m ni lazima ujue kodi ni tsh 180,000 na hiyo sio pesa yako ni ya serikali “TRA” na wewe unaishikilia “ withholding “ kwa niaba yao. Hiyo sio pesa yako kisheria! Ndiyo maana Diamond analaumu wame freeze account maana kisheria tayari umechukuwa pesa yao TRA na kama ume toa risiti na kuthibitisha umeuza tsh 1m basi tsh 180,000 unatakiwa kuwa nayo kisheria. Hii sio pesa ya kutafuta!.

Hayo ni mawazo ya bure huwezi kumuoma Azam ana lalamika kuhusu kodi kwasababu ana team na idara ya accountant kubwa yenye CPA wa kufuatilia haya maswala. Tatizo la kutokuwa na CPA utalipa kodi nyingi sana bila kujua
Mkuu umesema ukweli, mimi mwenyewe nimesaidiwa sana na hizi kampuni za wakaguzi na wataalamu wa pesa ni vijana na wote ni CPA wanajua mambo ya kodi ndani nje, ni kampuni ndio hunifanyia kila kitu pamoja na kuwa nawalipa fee kubwa lakini sina stress na hao TRA, naamini Domo anafanya biashara zake kiujanjaujanja na ha hawa wahasibu wa NABOCE, siku hizi mambo yamebadilika hasa kwa wenye VAT, hata risiti za matumizi lazima ziwe na jina na namba ya usajiri wa VAT wa kampuni yako, ukifanya huduma lazima udai risiti iliyoandikwa namba ya VAT ya kampuni yako na jina la kampuni yako, bila hivyo utaonekana unatakatisha pesa au umekuwa Trump.
 
Naomba niwape ushauri wale wote wafanyabiashara hasa ambao wana biashara mpya kuhusu maswala ya kodi.

Watu wengi wameshangaa kuona Diamond wa wasafi media ana lalamikia TRA hili ni swala la kawaidia kwa wale wasio na uzoefu wa kulipa kodi na kuendesha kampuni.

Wazo yangu ni marahisi sana lakini ni muhimu sana

1. Kampuni iwe na CPA maalumu wa kushughulikia kodi na mafao ya wafanyakazi. Huyu awe mtu mwenye uzoefu wa kodi na awe CPA
2.wakurugenzi wakae na CPA wao kujadili mambo ya kodi mwanzo wa mwaka na kuweka mpango wa mwaka mzima mfano kuna njia kama za kufungua NGO ambazo zinaweza kipunguza kodi lakini huwezi kusubiri mwisho wa mwaka kufanya
3. Kuwe na ripoti ya kampuni ya matumizi na mapato pamoja na kodi . Income statement kila miezi mitatu na sio mara moja kwa mwaka ili wadau na wamiliki wajue kampuni inaendeleaje na kodi zikoje badala ya kusubiri mwisho wa mwaka
4. Muongeaji na mwakilishi wa mambo ya pesa ya kampuni awe CPA na awe anawasiliana moja kwa moja na TRA. Hivyo watu wa kodi wakija kwenye kampuni wapewe namba ya CPA badala ya kukutana na viongozi ambao hawajui mambo ya kodi
5. Ni lazima CPA atoe elimu ya kodi ambayo inaitwa “withholding tax” hii wengi wanajichanganya na hawaielewi mfano kama una radio na kampuni ikaja kutangaza tangazo la ths 1m ni lazima ujue kodi ni tsh 180,000 na hiyo sio pesa yako ni ya serikali “TRA” na wewe unaishikilia “ withholding “ kwa niaba yao. Hiyo sio pesa yako kisheria! Ndiyo maana Diamond analaumu wame freeze account maana kisheria tayari umechukuwa pesa yao TRA na kama ume toa risiti na kuthibitisha umeuza tsh 1m basi tsh 180,000 unatakiwa kuwa nayo kisheria. Hii sio pesa ya kutafuta!.

Hayo ni mawazo ya bure huwezi kumuoma Azam ana lalamika kuhusu kodi kwasababu ana team na idara ya accountant kubwa yenye CPA wa kufuatilia haya maswala. Tatizo la kutokuwa na CPA utalipa kodi nyingi sana bila kujua
Wangenichukua niwasaidie kidogo shule muhimu nyie acha tu, ukiwa ujaenda shule kila kitu unahisi kuonewa na kuibiwa!!
 
Ndiyo maana tulimshauri Sinza Pazuri Chawa wa Dainamo kwamba amwambie Boss wake aajiri wataalam wa maswala ya kodi ili siku nyingine accounts zake zisifungiwe ,hao wataalam watamshauri kihasi gani Boss wao alipe kodi.
 
Naomba niwape ushauri wale wote wafanyabiashara hasa ambao wana biashara mpya kuhusu maswala ya kodi.

Watu wengi wameshangaa kuona Diamond wa wasafi media ana lalamikia TRA hili ni swala la kawaidia kwa wale wasio na uzoefu wa kulipa kodi na kuendesha kampuni.

Mawazo yangu ni marahisi sana lakini ni muhimu sana;

1. Kampuni iwe na CPA maalumu wa kushughulikia kodi na mafao ya wafanyakazi. Huyu awe mtu mwenye uzoefu wa kodi na awe CPA.

2.wakurugenzi wakae na CPA wao kujadili mambo ya kodi mwanzo wa mwaka na kuweka mpango wa mwaka mzima mfano kuna njia kama za kufungua NGO ambazo zinaweza kipunguza kodi lakini huwezi kusubiri mwisho wa mwaka kufanya.

3. Kuwe na ripoti ya kampuni ya matumizi na mapato pamoja na kodi . Income statement kila miezi mitatu na sio mara moja kwa mwaka ili wadau na wamiliki wajue kampuni inaendeleaje na kodi zikoje badala ya kusubiri mwisho wa mwaka.

4. Muongeaji na mwakilishi wa mambo ya pesa ya kampuni awe CPA na awe anawasiliana moja kwa moja na TRA. Hivyo watu wa kodi wakija kwenye kampuni wapewe namba ya CPA badala ya kukutana na viongozi ambao hawajui mambo ya kodi.

5. Ni lazima CPA atoe elimu ya kodi ambayo inaitwa “withholding tax” hii wengi wanajichanganya na hawaielewi mfano kama una radio na kampuni ikaja kutangaza tangazo la ths 1m ni lazima ujue kodi ni tsh 180,000 na hiyo sio pesa yako ni ya serikali “TRA” na wewe unaishikilia “ withholding “ kwa niaba yao.

Hiyo sio pesa yako kisheria! Ndiyo maana Diamond analaumu wame freeze account maana kisheria tayari umechukuwa pesa yao TRA na kama ume toa risiti na kuthibitisha umeuza tsh 1m basi tsh 180,000 unatakiwa kuwa nayo kisheria. Hii sio pesa ya kutafuta!

Hayo ni mawazo ya bure huwezi kumuoma Azam ana lalamika kuhusu kodi kwasababu ana team na idara ya accountant kubwa yenye CPA wa kufuatilia haya maswala. Tatizo la kutokuwa na CPA utalipa kodi nyingi sana bila kujua.
Hivi wewe unadhani taasisi kama wasafi haina hao watu husika. Kimsingi hapa TRA wamefanya mambo ya kihuni na ni bora Diamond ametoka hadharani kusema vinginevyo wangemshughulikia kimyakimya. Kitendo cha kuvamia ofisi usiku pia kufunga account ni mambo ya giza ya kimagufuli. Na Kama mnadhani kufungua na kuendesha Biashara au kampuni ni rahisi huvyo nendeni mkajaribu muone madhira wanayokutana wenzenu ndipo mtakapo kata tamaa. Hapa TZ mifumo na sheria nyingi za kikodi ni ngumu sana hivyo kuwafanya wafanyabiara kushindwa ku-comply kwa asilimia kubwa. Na wakati mwingine hawa maafisa wa Tra wanafanya ambush za kijinga namna hii ili wapate chao kwa kujificha kwenye hizi hizi sheria kandamizi.
Biashara nyingi ambazo hazipati misukosuko zina ulinzi wa wakubwa nyuma yao.
Alichokifanya Diamond nakiunga mkono nadhani next time hawataenda kijinga hivi.
Mkumbuke hata Marehemu R. Mengi alikuwa akifanya hivihivi (kuwasemelea kwa wananchi). Kwani ukiwachekea hawa wanaweza kukufilisi hivi hivi.
 
Back
Top Bottom