frema120
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 5,098
- 1,339
Nimefatilia sana semina hii/bunge hili la katiba, mambo madogo yanachukua muda sanaa na makubwa hawayaoni kabisa... wanarudiarudia mambo yaleyale na kupoteza muda mwingi sanaaa
Wabunge hawa wamekuwa vituko/makelele kila wakati/ wanasumbua sana/ wanarudiarudia sana maneno/ wanaingilia hoja za watu n.k wananikela sanaaa jirekebisheni bhana
1. Olesendeka
2. Serukamba Peter
3. Mtatiro
4. .........
5. Ongeza
Wenye hoja lakini wanazunguka sanaaaa mpaka kero
1. Mnyika
2. Jusa
3. .......
4. Ongeza
Mwenyekiti wa kamati
Zingatia muda na hoja vizuri hili kumaliza mapemaa.
Wabunge hawa wamekuwa vituko/makelele kila wakati/ wanasumbua sana/ wanarudiarudia sana maneno/ wanaingilia hoja za watu n.k wananikela sanaaa jirekebisheni bhana
1. Olesendeka
2. Serukamba Peter
3. Mtatiro
4. .........
5. Ongeza
Wenye hoja lakini wanazunguka sanaaaa mpaka kero
1. Mnyika
2. Jusa
3. .......
4. Ongeza
Mwenyekiti wa kamati
Zingatia muda na hoja vizuri hili kumaliza mapemaa.
Last edited by a moderator: