Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sote tunatambua ujasiri wako. Unaitetea Taifa kwa nguvu zako zote tunakushukuru sana LAKINI acha kusema sana na nenda pole pole sote tumekuelewa unasimamia rasilmali ya nchi hii.
Point tupuMimi namkumbusha tu Taifa linahitaji watu wengi wa aina yake. Hivyo asikate tamaa. Muhimu tu akosoe kwa staha. Na uzuri yeye ni wakili Msomi, na pia mwanasheria.
Lakini akumbuke 2025 ataingia bungeni kwa tiketi ya Chadema. Hivyo aanze maandalizi mapema ya kushona suti.
Umekaa hapo unaogopa,Sote tunatambua ujasiri wako. Unaitetea Taifa kwa nguvu zako zote tunakushukuru sana LAKINI acha kusema sana na nenda pole pole sote tumekuelewa unasimamia rasilmali ya nchi hii.
Huwa anatekwa na hisia . Huo ndiyo udhaifu wake. Lkn kinachotoka mdomoni kwake 99.99% kina mantiki. Huyu jamaa ana akili sana kwa jinsi mdomo wake unaendana na akili yake aka perfectly synced.Sote tunatambua ujasiri wako. Unaitetea Taifa kwa nguvu zako zote tunakushukuru sana LAKINI acha kusema sana na nenda pole pole sote tumekuelewa unasimamia rasilmali ya nchi hii.
Naunga mkono hoja, Wakili Mwambukusi aendelee kuwa wakili na sio mwanaharakati.Sote tunatambua ujasiri wako. Unaitetea Taifa kwa nguvu zako zote tunakushukuru sana LAKINI acha kusema sana na nenda pole pole sote tumekuelewa unasimamia rasilmali ya nchi hii.
Amemaliza kujitambulisha.Sote tunatambua ujasiri wako. Unaitetea Taifa kwa nguvu zako zote tunakushukuru sana LAKINI acha kusema sana na nenda pole pole sote tumekuelewa unasimamia rasilmali ya nchi hii.
Kabisa kabisa, akibaki kuwa wakili na approach ya kudeal na masuala itabadilika.Naunga mkono hoja, Wakili Mwambukusi aendelee kuwa wakili na sio mwanaharakati.
P
Uwakili bila harakati ni sawa na ELIMU bila uzoefu wa field!!Naunga mkono hoja, Wakili Mwambukusi aendelee kuwa wakili na sio mwanaharakati.
P
Una elimu gani?Sote tunatambua ujasiri wako. Unaitetea Taifa kwa nguvu zako zote tunakushukuru sana LAKINI acha kusema sana na nenda pole pole sote tumekuelewa unasimamia rasilmali ya nchi hii.
Kazaliwa mwaka 1952 msamehe tuUna elimu gani?
Uwakili unampa title nzuri kuliko uharakati bado muda wa harakati haujafikaUwakili bila harakati ni sawa na ELIMU bila uzoefu wa field!!
Mbona serikali haikwenda polepole kwenye kupitisha mkatabaSote tunatambua ujasiri wako. Unaitetea Taifa kwa nguvu zako zote tunakushukuru sana LAKINI acha kusema sana na nenda pole pole sote tumekuelewa unasimamia rasilmali ya nchi hii.
Pasco njaa at it againNaunga mkono hoja, Wakili Mwambukusi aendelee kuwa wakili na sio mwanaharakati.
P