kijana paul
Member
- Jul 17, 2014
- 91
- 6
DDE wanapokea kwa pcm
I mean D physc. D math na E chem
kwa wale wenzangu na mm tuliopata DDC kuna chuo kma MUST(mbeya university of science and technology) bdo wanapokea maombi kwa wale wa direct entry mwixho ni tarehe 28/8/2014 fomu za kujiunga zinapatikana kwenye website yao
Acha kutisha watu, vyuo vyote vya uhandisi entry qualification zinaendana, haijalishi ni coet(udsm), must etc
kwa wale wenzangu na mm tuliopata DDC kuna chuo kma MUST(mbeya university of science and technology) bdo wanapokea maombi kwa wale wa direct entry mwixho ni tarehe 28/8/2014 fomu za kujiunga zinapatikana kwenye website yao
shadcole kuna mawili: au wewe ni mchawi au ulifeli FII na ukajenga uadui kwa waliokuacha kimasomo. Haiwezekani kuanzia asubuhi hadi usiku unawakatisha watu tamaa kwenye jambo ambalo lipo wazi kwa comment zako!........cut-off point za kozi nyingi za sayansi ni point 2 na hata 2.5 ambazo ni D,E & E au D,D & E. WAdanganye wavivu wa kusoma!
unaenda kuapply level gan!?