SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Napenda kutoa ushauri kwa wanafunzi wote waliokosa mkopo kufanya mambo yafutayo:1.kuwa na umoja katika kudai haki yenu, haki haiombwi inadaiwa, wasiwepo wanafiki wowote wa kuwarudisha nyuma, njia peke ni vyuo kupanga tarehe ya kwenda kupiga kambi pale bodi ya mikopo lazima watatoa tu. 2.kama mwanafunzi hutaki usumbufun wa hapa na pale ni bora ukahamia open university,ada ni nafuu,vyuo vipo kila mkoa, unaweza kusoma wakati huo huo unajishughulisha na shughuli mbalimbali za kukuingizia kipato,pia kwa sasa mfumo wao wa elimu wameuboresha sana ukiwa na juhudi degree yako utaipata ndani ya miaka mitatu, ukiwa vivu ndiyo 4,5 hadi 6. Ni ushauri tu wa mimi kaka yenu.