Ushauri kwa wanachama wa TLS

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Nawashauri watokee wanachama wa TLS wajitokeze hadharani kumkosoa Rais WA TLS wa sasa ili tuone nini kitatokea.

Naandika hivyo kwa sababu yeye mkosoaji mkubwa wa viongozi wa chadema waliopo madarakani dhidi ya kundi la Lissu.

Hii itatupa tumpime uwezo wake ktk masuala ya uongozi
 
Anaweza kujiua anapenda sifa sana.
 
Mtu anaposhauri au kukosoa, haimaanishi yeye ni malaika, tujifunze kupokea/kukataa ushauri kwa njia iliyo chanya, siyo kwa kumshambulia mtoa ushauri au mkosoaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…