Kwanza nitamke wazi kuwa mimi ni mpenzi wa Yanga. Mimi nakubaliana na Manji kukodisha Timu kwa miaka 10 ila Wanachama wazingatie yafuatayo:-
(1) Kuna uwezekano kwenye biashara kukawa na HASARA. Kiwepo kipngele kwenye mkataba kuwa Manji akipata hasara sharti awalipe Klabu Tshs.200,000,000 kila mwezi. Hii isiwe na mjadala.
(2) Kuilipa Klabu Tshs.250,000,000 kwa mwezi mimi kwangu naona ni kiduchu. Kiwepo kwenye mkataba faida inayopatikana iwe ni kwa njia ya wazi ambapo mahesabu yatapigwa na kufikia hiyo faida. Mahesabu yasifanyike kwa kificho. Nashauri Manji ailipe Klabu Tshs. 500,000,000 kwa mwezi na siyo Tshs.250,000,000 kwa mwezi.
(3) Wakati wa kuandika Mkataba Klabu ikodi Mwanasheria Nguli ili kusimamia mkataba huo na kuishauri Klabu. Nampendekeza Klabu impendekeze Wanasheria kama Ndugu Kibatala au T. Lissu.
(4) Ukaguzi wa mahesabu yasimamiwe Mashirika kama PriceWaterhouse au ErnstYoung ili kupata ukweli.
(5) Nawashauri Wananchama kuwa siyo wazo linaloletwa mbele yenu ni kuitikia NDIYOO............. hapana. Pokeeni wazo mlitafakari kwanza na baadaye kulitolea uamuzi. Zama za Ndiyooo............. zimepitwa na wakati.
(1) Kuna uwezekano kwenye biashara kukawa na HASARA. Kiwepo kipngele kwenye mkataba kuwa Manji akipata hasara sharti awalipe Klabu Tshs.200,000,000 kila mwezi. Hii isiwe na mjadala.
(2) Kuilipa Klabu Tshs.250,000,000 kwa mwezi mimi kwangu naona ni kiduchu. Kiwepo kwenye mkataba faida inayopatikana iwe ni kwa njia ya wazi ambapo mahesabu yatapigwa na kufikia hiyo faida. Mahesabu yasifanyike kwa kificho. Nashauri Manji ailipe Klabu Tshs. 500,000,000 kwa mwezi na siyo Tshs.250,000,000 kwa mwezi.
(3) Wakati wa kuandika Mkataba Klabu ikodi Mwanasheria Nguli ili kusimamia mkataba huo na kuishauri Klabu. Nampendekeza Klabu impendekeze Wanasheria kama Ndugu Kibatala au T. Lissu.
(4) Ukaguzi wa mahesabu yasimamiwe Mashirika kama PriceWaterhouse au ErnstYoung ili kupata ukweli.
(5) Nawashauri Wananchama kuwa siyo wazo linaloletwa mbele yenu ni kuitikia NDIYOO............. hapana. Pokeeni wazo mlitafakari kwanza na baadaye kulitolea uamuzi. Zama za Ndiyooo............. zimepitwa na wakati.