THE GREAT CAMP JF-Expert Member Joined Jun 29, 2012 Posts 765 Reaction score 194 Feb 20, 2013 #1 Wanafunzi asilimia kubwa wana uwezo wa kufaulu mitihani. Sababu kuu za mwanafunzi kufeli mitihani zimechambuliwa kisayansi kwenye website hii.http://www.google.com/url?sa=t&rct=...6YCoCA&usg=AFQjCNFteqUiGqAYs7imYM6ybs2MvvRteQ .Poleni wa Tanzania wenzangu kwa matokeo mabaya ya form four 2012.
Wanafunzi asilimia kubwa wana uwezo wa kufaulu mitihani. Sababu kuu za mwanafunzi kufeli mitihani zimechambuliwa kisayansi kwenye website hii.http://www.google.com/url?sa=t&rct=...6YCoCA&usg=AFQjCNFteqUiGqAYs7imYM6ybs2MvvRteQ .Poleni wa Tanzania wenzangu kwa matokeo mabaya ya form four 2012.
akenajo JF-Expert Member Joined Oct 21, 2012 Posts 1,634 Reaction score 613 Feb 20, 2013 #2 Shule ya msingi kiswahili ,secondary kiingereza ,akienda likizo kidigo hapo sasa
C Cambri Senior Member Joined Nov 9, 2012 Posts 160 Reaction score 37 Feb 20, 2013 #3 Suala la lugha ni changamoto
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Feb 20, 2013 #4 Wanafunzi hawasomi kama tatizo ni lugha mbona kiswahili wana F? Tusitake kuamini kuwa waliofeli wote tatizo lugha hapa tatizo kutokusoma
Wanafunzi hawasomi kama tatizo ni lugha mbona kiswahili wana F? Tusitake kuamini kuwa waliofeli wote tatizo lugha hapa tatizo kutokusoma
M Mpamo Member Joined Dec 8, 2012 Posts 94 Reaction score 17 Feb 20, 2013 #5 andybird314 said: Wanafunzi hawasomi kama tatizo ni lugha mbona kiswahili wana F? Tusitake kuamini kuwa waliofeli wote tatizo lugha hapa tatizo kutokusoma Click to expand... Big up mkuu
andybird314 said: Wanafunzi hawasomi kama tatizo ni lugha mbona kiswahili wana F? Tusitake kuamini kuwa waliofeli wote tatizo lugha hapa tatizo kutokusoma Click to expand... Big up mkuu