HAZINA YETU
Senior Member
- Mar 29, 2013
- 174
- 33
Naomba mtujuze wakuu namna ya kuunga degree moja kwa moja kwani namaliza diploma yangu mwaka huu na ningependa kuendelea na masomo ya degree mwaka huu mwezi wa kumi.
Kikubwa nahitaji zaidi kujua namna ya ku apply mkopo na TCU na ni muda gani natakiwa kuyafanya hayo ili kukimbizana na muda.
Pia mnijuze ada kiasi gani inahitajika kwa fomu za mkopo na TCU.
Kikubwa nahitaji zaidi kujua namna ya ku apply mkopo na TCU na ni muda gani natakiwa kuyafanya hayo ili kukimbizana na muda.
Pia mnijuze ada kiasi gani inahitajika kwa fomu za mkopo na TCU.