HAZINA YETU
Senior Member
- Mar 29, 2013
- 174
- 33
Mkopo sahau jomba.
Heee... Ina maana mkopo ni kwa wale form six na diploma watakaosoma udaktari na ualimu wa Sayansi pekee ?
Asikudanganye mtu mkopo kwa diploma upo palepale ili mradi una gpa not less than 2.7 utaomba kwa ku2mia sifa linganishi(equivalent qualifications) kwanza ukiomba nafasi ni rahisi kupata chuo kwa mtu mwenye diploma kuliko yule wa form six mwenye qualificatns za kawaida. Omba kaka na wala usiwaze njia nyeupeeee mkopo mpaka chuo.
HESLB maombi ni april mwshon ada ni elfu 30+pesa ya kutumia kwa ems!halafu TCU hufungua kwenye mwezi wa sita au baada ya matokeo ya f6 na ada ni vocha yao ya elfu 50 inayouzwa bank ya NBC..cha msingi wakifungua omba ila tcu usubiri wakitoa guidebook itakayokusaidia kujua course utakazoomba!! achana na watu wanaokatisha tamaa kwani diploma huchukuliwa kama equivalent applicants na mkopo unapewa kama kawa kama tu course yako ni priority... kwa msaada zaidi ukihtaji ni pm
Application zimeanza tarehe: 02/ 04 /2015Shukrani mkuu, aplication zinaanza mwezi wa ngapi? Ada za form ni kiasi gani?
Mkopo huwezi pata Mkuu!! Coz wanafikirii wew tayar umeshaajiriwa ivyo unasalary! Uctegemee sana mkopo better uka-find another means.
Application zimeanza tarehe: 02/ 04 /2015
Mwisho ya kufanya maombi ni tarehe: 18/ 07 /2015
Malipo ni: TSH 50'000/-
KUHUSU MKOPO: Inategemea ni course gani wataka kusoma, Kuna baadhi ya kozi ukichaguliwa lazima ipate mkopo, Na baadhi ya cource ni bahati na sibu kupata au kukosa
Asikudanganye mtu mkopo kwa diploma upo palepale ili mradi una gpa not less than 2.7 utaomba kwa ku2mia sifa linganishi(equivalent qualifications) kwanza ukiomba nafasi ni rahisi kupata chuo kwa mtu mwenye diploma kuliko yule wa form six mwenye qualificatns za kawaida. Omba kaka na wala usiwaze njia nyeupeeee mkopo mpaka chuo.