Mkopo huwezi pata Mkuu!! Coz wanafikirii wew tayar umeshaajiriwa ivyo unasalary! Uctegemee sana mkopo better uka-find another means.
Shukrani mkuu, nataka Laboratory technology kwani ndiyo nayomaliza nayo diploma. Vp nitapata?
mkopo upo kwa cozi za sayansi kasoro IT .haijalishi diploma au six ila uwe sayansi.kama ni art anza kutafuta panadol
Acha Upotoshaji
Nafikiri unampa moyo tyuu bora ukamsaidia kuwa means badala ya mkopo anaotegemea.
Si kweli, kuna watu wapo UDSM, OUT, UDOM na MZUMBE wanasoma IT/Computer Science/Information Systems wanapata mikopo kama wengine.
Yes maana Kama Ni Medical Lab Technology Utapata maana Ni Priority
Tatizo ni kutosikiliza Bunge na Wamekariri eti Wanasayansi.. mbona Kuna Vyuo kama Saut hakuna Wanasayansi ila Wanapokea Mikopo..
Low Thinking za Watu halafu anajifanya Anajua
Bodi inakua na vipaumbele vyake kila mwaka, sasa sijui mwaka huu vitakua vipi.kwa mimi niliyechukua business adminstration...diploma nikitaka kuendelea nayo je naweza pata mkopo?
Bodi inakua na vipaumbele vyake kila mwaka, sasa sijui mwaka huu vitakua vipi.