J Jasho la Damu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2011 Posts 956 Reaction score 120 Jul 19, 2011 Thread starter #21 BADILI TABIA said: wakati huyu mwanamke anazalisha mwanaume anafanya nn? Au ndo mambo ya kulelewa?(samahan wamasai nahtaji ufafanuzi tu) Click to expand... Kazi kubwa ya mwanaume ni ulinzi na usalama wa boma zake pia kupigana vita pindi inapotokea.
BADILI TABIA said: wakati huyu mwanamke anazalisha mwanaume anafanya nn? Au ndo mambo ya kulelewa?(samahan wamasai nahtaji ufafanuzi tu) Click to expand... Kazi kubwa ya mwanaume ni ulinzi na usalama wa boma zake pia kupigana vita pindi inapotokea.
Dijina40 JF-Expert Member Joined May 17, 2010 Posts 727 Reaction score 247 Jul 19, 2011 #22 Mungu awakumbuke wanawake kama binadamu wenzao wasipowakumbuka. Hayo ni mateso sio mapenzi wala ndoa. Sielewi mwendhenu!
Mungu awakumbuke wanawake kama binadamu wenzao wasipowakumbuka. Hayo ni mateso sio mapenzi wala ndoa. Sielewi mwendhenu!
J Jasho la Damu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2011 Posts 956 Reaction score 120 Jul 19, 2011 Thread starter #23 Magulumangu said: duh kweli Bongo tambalale...kweli unafanya mwanamke awe kizalisho wewe? Ulaaniwe na mungu hata shetani pia akulaani... Click to expand... Kama kulaaniwa wangeanza wachaga kwani mwanamke wa kichaga ndie mzalishaji wa kila kitu huku Mwanaume akinywa mbege na chang'aa kilabuni.
Magulumangu said: duh kweli Bongo tambalale...kweli unafanya mwanamke awe kizalisho wewe? Ulaaniwe na mungu hata shetani pia akulaani... Click to expand... Kama kulaaniwa wangeanza wachaga kwani mwanamke wa kichaga ndie mzalishaji wa kila kitu huku Mwanaume akinywa mbege na chang'aa kilabuni.
J Jasho la Damu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2011 Posts 956 Reaction score 120 Jul 19, 2011 Thread starter #24 Digna37 said: Mungu awakumbuke wanawake kama binadamu wenzao wasipowakumbuka. Hayo ni mateso sio mapenzi wala ndoa. Sielewi mwendhenu! Click to expand... Wala usishangae huo ni utamaduni wa kabila la kimasai na wewe ungezaliwa huko ungefuraia tu.
Digna37 said: Mungu awakumbuke wanawake kama binadamu wenzao wasipowakumbuka. Hayo ni mateso sio mapenzi wala ndoa. Sielewi mwendhenu! Click to expand... Wala usishangae huo ni utamaduni wa kabila la kimasai na wewe ungezaliwa huko ungefuraia tu.