Ushauri kwa wasanii wa filamu Tanzania na Mkuu wa Mkoa wa Dar

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433

Baada ya kuliangalia suala la ndugu zetu wa Bongo Movie kwa undani na hasa kupitia ushirikiano mkubwa wanaopewa na Ndugu Paul Makonda, naomba ushauri huu uzingatiwe ili kuokoa jahazi linalozama.

Bongo movie watambue kua wanatakiwa kutuvuta kwao na si kutusukuma mbali.
 
Niliacha Kufuatilia Bongo Movie Baada Ya Kanumba Kutangulia Mbele Ya Haki
mi na imani kuna namna wakiacha kupenda vitonga na kuanza kufanya kazi kwa midi na avili Zao watatoboa tue lamina
 
Wamegeuka kuwa wasemaji wa chama zaidi kuliko kuzisemea movie zao!
 
Bongo Movie Bongolala...

Wanaume wanajua kujichubua... Wanagombania dressing table na wake / dada zao.


Wanawake wamwgeuza bongo movie sehemu ya kutangaza biashara yao ya Umalaya
 
Bongo Movie Bongolala...

Wanaume wanajua kujichubua... Wanagombania dressing table na wake / dada zao.


Wanawake wamwgeuza bongo movie sehemu ya kutangaza biashara yao ya Umalaya
Kama wataendelea hive itakua hater sana
 
What is wrong sir? I don't get the joke samahani mkuu.
Not only the gun is not loaded but she is totaly not aware that there is something needed thre (Magazine) she prove so by directly pointing the chamber to the camera. The camera man as well the editor an all the team behind this didnt notice that. Shaaame
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…