Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Waziri Kijana Mhe. Selemani Jafo nimekusoma kuhusu taarifa ya kuwaondoa Wakurugenzi waliopata hati chafu.
Nakupongeza kwa uamuzi huo ingawa naomba kukushauri yafuatayo:-
1. Kuna Majiji, Manispaa au Halmashauri zimepata hati safi sababu ya kutoa rushwa kwa timu ya CAG!!! Tafadhali chunguza hili!!! Wapo waliopata hati chafu sababu walikataa kutoa rushwa, wapo waliofanya madudu zaidi yao na wana hati safi.
2. Kwenye Mashirika ya Umma huko ndiko balaaa. Rushwa kwa timu ya watu wa CAG inatolewa yakutishaaa! Ndio maana kuna mashirika yanatisha kwa ufisadi wa miradi, huduma mbaya kama za wastaafu nk na bado wamepata hati safiii!
Ni wakati wa kufanya kazi nje ya box!! Au kuondoa kabisa box!
Hongera Rais wa JMT Mhe. Samia Suluhu Hassan. Naiona Tanzania ikipiga kasi ya maendeleo ya ajabu kabisa.
Nakupongeza kwa uamuzi huo ingawa naomba kukushauri yafuatayo:-
1. Kuna Majiji, Manispaa au Halmashauri zimepata hati safi sababu ya kutoa rushwa kwa timu ya CAG!!! Tafadhali chunguza hili!!! Wapo waliopata hati chafu sababu walikataa kutoa rushwa, wapo waliofanya madudu zaidi yao na wana hati safi.
2. Kwenye Mashirika ya Umma huko ndiko balaaa. Rushwa kwa timu ya watu wa CAG inatolewa yakutishaaa! Ndio maana kuna mashirika yanatisha kwa ufisadi wa miradi, huduma mbaya kama za wastaafu nk na bado wamepata hati safiii!
Ni wakati wa kufanya kazi nje ya box!! Au kuondoa kabisa box!
Hongera Rais wa JMT Mhe. Samia Suluhu Hassan. Naiona Tanzania ikipiga kasi ya maendeleo ya ajabu kabisa.