Ushauri kwa wizara ya elimu na wenzangu kama mimi

Wabo

Member
Joined
Jun 15, 2011
Posts
59
Reaction score
10
kumekua na uhaba mkubwa walimu wa sayansi shule za sekondari, hii ni kutokana na walimu wa sasa wanao hitimu vyuo mbalimbali ni product ya shule za kata shule hizo nyingi hazina michepuo ya sayansi tangu zilipoanzishwa matokeo yake 98% ya walimu waliozalishwa ni wa history/kiswahili. nashauri wizara kutuchukua cc tulio hitimu degree za uhasibu, manunuzi banking , uchumi, sheria nk kwakua tulifanya vizuri latika masomo ya sayansi tupelekwe crash programe tuje kuokoa taifa, kwa sasa hatuna kazi hadi tunaitwa mabomu kwa taifa bora tu chukuliwe tuokoe jahazi
 

mkuu wazo lako jema ila umejishusha thamani sana!! Ualimu ni kazi inayohitaji heshima,.
 

WAhi tcu kabla muda haujaisha sasa. utoto wa mmsiwez kuchagua ualimu umekutoka eh. ACHA UFNYU WA MAWAZO WEWE UNADHAN MWAlimu anweza kuwa mchum mahiri kwa crash? unata ukaeneze u ji.nga wako?
 
ulijsfu mi nasma banking kula bank yako ya ------ mseng wew wlm hawskutaki shut up ur mouth
 
mkuu wazo lako jema ila umejishusha thamani sana!! Ualimu ni kazi inayohitaji heshima,.

ninaheshima na weledi na hao nilio wataja naimani nao, walimu ni kazi nzuri , washlaji kibao wametoka kwa ualimu wametuacha kitaa na mabachelor yetu ambayo markert yake imekua small
 
Pole omba post graduate education kwa mwaka mmoja then utapangwa kwenda kufundisha crash program ni siasa so watu wako macho sana na profession zao ualimu si kitu cha kitoto unaenda kumtengeneza binadamu. So kila la heri kuingia kwenye wito
 
Hili ni tatzo la watanzania, hatna kitu kinaitwa career guidance mt anakurupuka na kusoma koz bila kujua future kisa una D ya maths eti naenda Accounts.Rudishen mikopo yetu ndo tuwafikirie naliwe fndisho kwa form 6
wanaomalza mwaka huu!
 
Subiri Lowasa akiingia Ikulu make JK elimu c kipaumbele chake. hata shule zikifungw zote haoni tabu. We ona wanavyojitahidi kuchakachua ilimradi tu kupandisha Ufaulu. Big R Now hiyo.
 
Eti
mpelekwe crash program mje muokoe jahazi?! Jahazi gani mtakaloliokoa
ninyi malawyer, bankers, accountants etc kwenye suala la elimu?!
Do you think teaching is all about standing infront, writing on the
board and marking excercise books?
No way Wabo you need to be a proffesional
teacher inorder to impart skills and knowledge in the mind of learners. Si swala la kusema eti kwa vile tulifaulu masomo ya sayansi ndo mkawa na haki au uwezo ya kuwa walimu, hilo swala halipo
Nyie tafuteni kazi zenye proffesional zenu msitake kutuingilia walimu
 
Last edited by a moderator:
acha jazba huu nimtazamo tuu, tena wenye manufaa kwa taifa, i wish to be a good teacher not lyk u zeros producer mnafikiri hakuna mbadala hata mnafelisha kwa makusudi kwa migomo baridi, najua unakumbuka tulichaguliwa kusoma hizi program coz of higher performance nyie wenye 3 na 4 mkatupwa ualimu, kwakuwa mmeshindwa kufikia malengo ya taifa na weledi wa taaluma zenu this cadle of other profesional will take the lead after short training mambo itakua poa
 
Mbona ualimu hutauweza kwa mtazamo ulio nao?unawadharau walimu ila unataka kuwa mwalimu?a.w karibu, ila crash itakustress tu maana utaishia kuwa kibarua, kama unania ya kuwa mwalimu nenda PGDE mwaka mmoja tu, uajiriwe kabisa.
 
"nashukuru kwa ushauri, PGD ya chuo gani bei rahisi, km sh ngapi?
 
By the way wewe Wabo unasumbuliwa na stress za kukosa ajira kwa miaka mingi ndo maana ukaja na hii topic
 
Last edited by a moderator:
cc ni rasilimali katika taifa lazima tuwashauri watunga sera namna ya kutumia rasilimali watu iliyopo sio wao wanalalamika na cc tunalalamika matatizo yapo palepale
 
"nashukuru kwa ushauri, PGD ya chuo gani bei rahisi, km sh ngapi?
Ghalama zinabadilika kila mara, jaribu kwenye web-site za vyuo mbalimbali kama udsm,duce,tumaini,sauti n.k. utapata maelezo yote jinsi ya kuapply na fee structure zao.
 

i think you should focus on ukarani,uwakili nk.maana mtaa unawafanya mlete idea ambazo sio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…