Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
CCM will never heed to such a brilliant idea!Kujiandikisha kupiga kura ni jambo moja na kupiga kura ni jambo la pili na siku ya kura ni wazi sio wote wanakuwa eneo waliojiandikisha au watakaokwenda kupiga kura.
Naona kuna haja ya siku ya kura kuwe na dafrari la kuhakiki/kuandikisha wanaokuja kupiga kura ili idadi ije ioane na kura zilizo katika masanduku ya kura.
Hii utaondoa dhana ya wizi na uchakachuaji katika vituo.
Ukiwa malaya wa kisiasa ni shida sanaNchi inaendeshwa kwa sheria sio mawazo ya kilevi kama haya
Ukiwa malaya wa kisiasa ni shida sana
Unakuja na id nyingi kisa kutetea ujingaWewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Wazo lako ni zuri,ila litapingwa na wezi wa kura kwa visingizio kuwa ni gharama, pia wanaweza kupandikiza majina maana watafanya juu chini waweke watu wao kuchakachua.Waliozoea vya kunyonga..Kujiandikisha kupiga kura ni jambo moja na kupiga kura ni jambo la pili na siku ya kura ni wazi sio wote wanakuwa eneo waliojiandikisha au watakaokwenda kupiga kura.
Naona kuna haja ya siku ya kura kuwe na dafrari la kuhakiki/kuandikisha wanaokuja kupiga kura ili idadi ije ioane na kura zilizo katika masanduku ya kura.
Hii utaondoa dhana ya wizi na uchakachuaji katika vituo.
Dada watakuwa wanakupakua sana hapo Lumumba, maana una mahaba mazito sana na hao mabwana zakoNchi inaendeshwa kwa sheria sio mawazo ya kilevi kama haya
Unakuja na id nyingi kisa kutetea ujinga
Huo ushauri unatekelezwa. Mawakala wanaruhusiwa kuwa na orodha ya wapiga kura kituoni. Mpiga kura akiingia na kadi anatamka jina kwa sauti na wakala anasikia na kutiki jina. Hesabu ya mwisho unaweza kujua waliokuja kupiga kura kituoni ni wangapi na hesabu ya kura ikoje. Hicho mawakala wa vyama vya upinzani wanafanya ila tume inajua hiyo style itawaua CCM. Ili kupooza hayo makali wanakwambia wakala ni mmoja tu kwa kila kituo na hakuna kupokezana. Hiyo wameifanya makusudi kwa sababu katika hali ya kawaida binadamu huwezi kuwa makini toka saa 1 asbh mpaka 10 jioni bila kupepesa macho au kutoka kwenda kula. Pili tume haijaweka nafasi ya kulinganisha hesabu za orodha ya watu waliokuja kupiga kura na kura zilizotumbukizwa kwenye box la kura. Wakala hata akilalamika kwamba kura zilizohesabiwa ni nyingi kuliko idadi ya walokuja kupiga kura kituoni hawezi kusikilizwa coz makalani wa tume huwa wanachujwa na serikali na serikali unajua ni ya chama gani.Kujiandikisha kupiga kura ni jambo moja na kupiga kura ni jambo la pili na siku ya kura ni wazi sio wote wanakuwa eneo waliojiandikisha au watakaokwenda kupiga kura.
Naona kuna haja ya siku ya kura kuwe na dafrari la kuhakiki/kuandikisha wanaokuja kupiga kura ili idadi ije ioane na kura zilizo katika masanduku ya kura.
Hii utaondoa dhana ya wizi na uchakachuaji katika vituo.