Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Habari,Wadau mimi ni mwalimu nina bachelor ya education,nimejichanga nimepata vijisenti kama m.5 na ushehe,nikiangalia changamoto za ualimu napata hasira sana natamani niende nikasome shahada ya pili tofauti na kozi za ualimu but napata wakati mgumu ni kozi ipi nisome?
kwa upande wa pili nakumbuka kuajiriwa ni utumwa ni bora kupambana na maisha kwa kujiajiri kwani m.5 zinatosha kwa mtaji,ila hapa napata ugumu pia mradi gani unanifaa,niko very interested biashara na kufuga ila kikwazo ni upatikanaji wa maeneo kwani kwa huku niliko(lushoto) jiografia yake ni mbaya milima kiasi kwamba ardhi imekua ghali na adimu sana japokua kuna stawi mazao mengi ya chakula na biashara kutokana na hali nzuri ya hewa na mvua za uhakika.
KEBEHI NA DHIHAKA WEKENI KANDO KAMA HAUNA CHA KUCHANGIA NI BORA UKAPITA TU.
# BARAKA ZIWE NANYI#
kwa upande wa pili nakumbuka kuajiriwa ni utumwa ni bora kupambana na maisha kwa kujiajiri kwani m.5 zinatosha kwa mtaji,ila hapa napata ugumu pia mradi gani unanifaa,niko very interested biashara na kufuga ila kikwazo ni upatikanaji wa maeneo kwani kwa huku niliko(lushoto) jiografia yake ni mbaya milima kiasi kwamba ardhi imekua ghali na adimu sana japokua kuna stawi mazao mengi ya chakula na biashara kutokana na hali nzuri ya hewa na mvua za uhakika.
KEBEHI NA DHIHAKA WEKENI KANDO KAMA HAUNA CHA KUCHANGIA NI BORA UKAPITA TU.
# BARAKA ZIWE NANYI#