Ushauri kwenu kina dada...

Ha ha haa,napenda kucheka na kununa ko ndo maana comments zangu pia hazijawahi kukaa kimpangilio MTU akanielewa
Kwakwl huelewek upo na mood gan furaha au huzuni sema ndo vzr binadamu hupaswi kueleweka kirahis
 
Nanyie wanaume mkome na mkome kabisa tabia ya kuomba omba hizo picha za nyuchi toka kwa wanawake. Kujifanya watakatifu kumbe nyie ndo source mmxxxeew!!
Asa mkuu we ushakuwa mtu mzima utakubalije kuendeshwa kama hvy tena kwenye mambo unayojua yatakudhalilisha baadae... Ko bwanako akikuomba ata njia nyingine utampa kwakuw kakuomba??

Wanaume wnyw Akili zetu tunazijua wnyw Lakin pia je simu ikipotea hyo ya mwanaume unadhan utamlaum nan apo.....
 
Vp hali ya Hewa ilikuaje ..huko Maeneo
 
Lakini mkuu mara nyingi hizi bin au trash za simu vitu huwaga vinajifuta moja kwa moja baada ya muda flani
 
Hamna, tazama vema madam. Hizo si mvi, vuzi limebabuka na joto tu. Safisha kiwanja vema. Hakikisha panabaki magofu tu kama soko la Kariakoo. Utakuja kuniambia!
 
Kutokana na kukua kwa teknolojia dadazangu wengi sana mnatabia za kupiga picha tata(picha za utupu) hii nmeshuhudia kwa baadhi ya wanawake.
Dah, hizi shule ndo husababisha siku hizi kupata picha za hivyo kuwa kugumu kweli. Maana vidume ndo wateja wakubwa wa hiyo huduma. Wasisitize wasiache kuzipiga bali wajue namna ya kuzifuta kwa usahihi. Hallelujah!
 
Hamna, tazama vema madam. Hizo si mvi, vuzi limebabuka na joto tu. Safisha kiwanja vema. Hakikisha panabaki magofu tu kama soko la Kariakoo. Utakuja kuniambia!
We, ndo zilikuwa zimejitokeza baada ya kutoka kushave.Yaan ni mvi kabisa na nina uhakika lazima zitakuwa zimeongezeka maana ni kwenye kinena.
 
Dah, hizi shule ndo husababisha siku hizi kupata picha za hivyo kuwa kugumu kweli. Maana vidume ndo wateja wakubwa wa hiyo huduma. Wasisitize wasiache kuzipiga bali wajue namna ya kuzifuta kwa usahihi. Hallelujah!
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…