Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
- Thread starter
-
- #41
Yeah mdamwngine huwa hvy Lakin kama unafuta bora uhakikishe hazipo kabsaLakini mkuu mara nyingi hizi bin au trash za simu vitu huwaga vinajifuta moja kwa moja baada ya muda flani
Sikusomea mwndko bossMtoto wa form 6 ila mwandiko wako bora hata wangu wa kwa rasi simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa cha muhimu kuwa makini tuNanyie wanaume mkome na mkome kabisa tabia ya kuomba omba hizo picha za nyuchi toka kwa wanawake. Kujifanya watakatifu kumbe nyie ndo source mmxxxeew!!
Sawa. Lakini mvi pia zinaongeza mashamsham, ni kama umeblichi. Yani unakuwa kama vile kichwa cha Defao.We, ndo zilikuwa zimejitokeza baada ya kutoka kushave.Yaan ni mvi kabisa na nina uhakika lazima zitakuwa zimeongezeka maana ni kwenye kinena.
Awilo longomba.Ha ha haaaSawa. Lakini mvi pia zinaongeza mashamsham, ni kama umeblichi. Yani unakuwa kama vile kichwa cha Defao.