Faru12
JF-Expert Member
- Jun 24, 2014
- 391
- 235
Habari za jioni mabibj na mabwana. Nakuja kwenu kwalengo lakupokea ushauri. Nilitaka kujua kwayeyote mwenye uelewa na gari aina ya TOYOTA NOAH new model. (1)Bei yakununua mikononi mwa MTU inaweza ikafika kiasi gani.
(2)uimara na unywaji wa mafuta. Na je hizi new model zinatofautiana ukubwa wa (injini?) Ao zote zikosawa? Mwisho kabisa nataka ushauri wenu kuna mtu anauza yakwake VOXY bei yamwisho milioni 6 imetembea kilomita 165000. Namba C, Nisawa? Ao anataka kunipiga? NB: Sina uzoefu na magari. Nikwaajili ya biashara. Asante
(2)uimara na unywaji wa mafuta. Na je hizi new model zinatofautiana ukubwa wa (injini?) Ao zote zikosawa? Mwisho kabisa nataka ushauri wenu kuna mtu anauza yakwake VOXY bei yamwisho milioni 6 imetembea kilomita 165000. Namba C, Nisawa? Ao anataka kunipiga? NB: Sina uzoefu na magari. Nikwaajili ya biashara. Asante