Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Habari!
Naomba wataalamu wa sheria wanisaidie katika hii isue ya magufuli kwenda kenya kumnadi raila odinga je sheria inasemaje kuhusu hili je nchi moja inaruhusiwa kuingilia siasa za nchi nyingine?
Nawasilisha
Naomba wataalamu wa sheria wanisaidie katika hii isue ya magufuli kwenda kenya kumnadi raila odinga je sheria inasemaje kuhusu hili je nchi moja inaruhusiwa kuingilia siasa za nchi nyingine?
Nawasilisha