Dogo acha ufalaa ... Msikilize mama yakoMimi nina mwanamke kiukweli nampenda sana na yeye ananipenda na tumejaliwa pata mtoto mdogo wa kike, lakini nyumbani kwetu hawamtaki hasa mama yangu mzazi pamoja na dada zangu na ukizingatia mama yangu ananipa sapoti kubwa na mambo mengi amenitendea kunilea, kunisomesha kuanzia shule ya msingi mpaka kupata degree na hata sasa ni msaada mkubwa kwangu. Wakuu karibuni
Ogopa kufanyiwa maamuzi na wazazi au ndugu, simama kama mwanaume, mwisho wa siku watakufuata.Mimi nina mwanamke kiukweli nampenda sana na yeye ananipenda na tumejaliwa pata mtoto mdogo wa kike, lakini nyumbani kwetu hawamtaki hasa mama yangu mzazi pamoja na dada zangu na ukizingatia mama yangu ananipa sapoti kubwa na mambo mengi amenitendea kunilea, kunisomesha kuanzia shule ya msingi mpaka kupata degree na hata sasa ni msaada mkubwa kwangu. Wakuu karibuni
Sababu kuwa wanadai hana maadili kutokana na mavazi anayovaa,pmj na familia yao inashida lkn mim naona ni kwakuwa bado mdg mamb hayo ya mavaz ataacha tu cz nmeshaongea nae kuhusu hiloMimi nina mwanamke kiukweli nampenda sana na yeye ananipenda na tumejaliwa pata mtoto mdogo wa kike, lakini nyumbani kwetu hawamtaki hasa mama yangu mzazi pamoja na dada zangu na ukizingatia mama yangu ananipa sapoti kubwa na mambo mengi amenitendea kunilea, kunisomesha kuanzia shule ya msingi mpaka kupata degree na hata sasa ni msaada mkubwa kwangu. Wakuu karibuni
Kabisa na ametawaliwa na dada zake.Hujitambui bado
Ataacha au kaacha?Sababu kuwa wanadai hana maadili kutokana na mavazi anayovaa,pmj na familia yao inashida lkn mim naona ni kwakuwa bado mdg mamb hayo ya mavaz ataacha tu cz nmeshaongea nae kuhusu hilo
Ila mitoto ya siku hizi bwana eh. Kwa hiyo,ulivyoona mipaja nje nje,ukaona umeoa! Ulichofanya ni uzinzi. Wangemkataa kisaa mfupi,masikini,...... ningekushauli ukaze roho. Ila kitendo cha kuonekana hana maadili,inaonyesha wazi mzazi alivyokuhangaikia,na wewe ulivyomuangusha. Hapo tayari umeanza kutengeneza kizazi cha shido. Mama hapendwi,yaonekana ulishakua mhuni, huyo mtoto unadhani mwisho itakuwaje?Sababu kuwa wanadai hana maadili kutokana na mavazi anayovaa,pmj na familia yao inashida lkn mim naona ni kwakuwa bado mdg mamb hayo ya mavaz ataacha tu cz nmeshaongea nae kuhusu hilo
Mi naona umempeleka mbali sana ni kama unamuambia ajitenge na familia yake na ategemee zaidi marafiki na makundi mapya,nadhani hii SIO SAWA. Tafadhali kijana mleta mada pata utulivu jua sababu ya kwanini mzazi hamtaki mwenzako.Wazazi wana uzoefu wa mambo ya mapenzi kumbuka,pia maisha ya unyumba.Ukiwa kijana kuna vitu unaweza usivione lakini wazazi wanaona.Hivyo penda kujua sababu na ongea na mzazi kwa upendo uweke msimamo wako(kama unavyoona) na mmalizane na mzazi kwa amani; hata kama ni kukubaliana kutokubaliana.Samahani sana kwa hali unayopitia. Ni jambo la kusikitisha sana kukumbana na hali ambapo familia inakukataa wewe na mtoto wako.
Kwanza angalia mfano wa video hii HAPA
Hapa kuna baadhi ya ushauri ambao unaweza kukusaidia katika hali hii:
Usijilaumu: Kwanza kabisa, ni muhimu uelewe kwamba huna lawama yoyote katika hali hii. Uamuzi wa familia yako wa kukukataa ni wao na sio kosa lako.
Tafuta msaada kutoka kwa watu wa karibu: Zungumza na marafiki wa karibu, ndugu wengine, au hata mshauri wa kisaikolojia. Wanaweza kukupa ushauri na msaada wa kihisia ambao unahitaji.
Jiunge na makundi ya usaidizi: Kuna makundi mengi ya usaidizi kwa wanawake wanaopitia hali kama yako. Kuungana na watu wengine wanaopitia changamoto sawa kunaweza kukufanya uhisi kuwa huko peke yako.
Zingatia ustawi wa mtoto wako: Jambo muhimu zaidi ni kuhakikisha kuwa mtoto wako anafuraha na anapokea upendo wote anaohitaji.
Mfano huu HAPA
Fikiria chaguzi zako za kifedha: Ikiwa familia yako ilikuwa inakusaidia kifedha, utahitaji kupanga jinsi ya kujitegemea.
Anza HAPA
Usiogope kutafuta haki zako: Ikiwa unahisi kuwa haki zako au za mtoto wako zinakiukwa, unaweza kutafuta ushauri wa kisheria.
Kumbuka: Hali hii inaweza kuwa ngumu sana, lakini ni muhimu usitume. Una nguvu zaidi kuliko unavyofikiria.
Ninaposema kuisikiliza familia; nashauri wawe ni baba au mama.Hao dada hapana Kaka kidoogo mfikirie akisema..Kabisa na ametawaliwa na dada zake.
Kwanini unaoa mtoto mdogo??Sababu kuwa wanadai hana maadili kutokana na mavazi anayovaa,pmj na familia yao inashida lkn mim naona ni kwakuwa bado mdg mamb hayo ya mavaz ataacha tu cz nmeshaongea nae kuhusu hilo
Hivi kweli unajua na degree bado unapata masaada kwa maza maza na Dada zako wamekuona wewe ni mzigo alafu unataka kuwaongezea mizigo isio na tija?dah elimu nilijua ungesema wewe sasa baada ya kusomeshwa hiyo family ndio unaisapotiMimi nina mwanamke kiukweli nampenda sana na yeye ananipenda na tumejaliwa pata mtoto mdogo wa kike, lakini nyumbani kwetu hawamtaki hasa mama yangu mzazi pamoja na dada zangu na ukizingatia mama yangu ananipa sapoti kubwa na mambo mengi amenitendea kunilea, kunisomesha kuanzia shule ya msingi mpaka kupata degree na hata sasa ni msaada mkubwa kwangu. Wakuu karibuni
Mimi nina mwanamke kiukweli nampenda sana na yeye ananipenda na tumejaliwa pata mtoto mdogo wa kike, lakini nyumbani kwetu hawamtaki hasa mama yangu mzazi pamoja na dada zangu na ukizingatia mama yangu ananipa sapoti kubwa na mambo mengi amenitendea kunilea, kunisomesha kuanzia shule ya msingi mpaka kupata degree na hata sasa ni msaada mkubwa kwangu. Wakuu karibuni
Hivi unaanzaje kumpenda mtu. eti ananipenda nami nampenda . upuuzi mtupuMimi nina mwanamke kiukweli nampenda sana na yeye ananipenda na tumejaliwa pata mtoto mdogo wa kike, lakini nyumbani kwetu hawamtaki hasa mama yangu mzazi pamoja na dada zangu na ukizingatia mama yangu ananipa sapoti kubwa na mambo mengi amenitendea kunilea, kunisomesha kuanzia shule ya msingi mpaka kupata degree na hata sasa ni msaada mkubwa kwangu. Wakuu karibuni