Pre GE2025 Ushauri: Luhaga Mpina CCM wakizingua we komaa na Umoja party. 2025 maajabu yatafanyika

Pre GE2025 Ushauri: Luhaga Mpina CCM wakizingua we komaa na Umoja party. 2025 maajabu yatafanyika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Usitishike wala kufeel vibaya Watanzania tunaopinga maovu na upigaji tupo nyuma yako. Yale 1995 ya marehemu Agustine Mrema huenda yakajirudia 2025. Wewe komaa usitishwe na Mafisadi. Hii nchi ni ya Watanzania.

1000024433.jpg
 
Siasa za Tanzania sio kama unavyofikiria. Mpina Kafukuzwa bungeni na mambo yanaendelea Kama vile hakuna shida. Tanzania ni ngumu Sana.
 
Usitishike wala kufeel vibaya Watanzania tunaopinga maovu na upigaji tupo nyuma yako. Yale 1995 ya marehemu Agustine Mrema huenda yakajirudia 2025. Wewe komaa usitishwe na Mafisadi. Hii nchi ni ya Watanzania.

View attachment 3028449
akili imeanza kurudi au ndio imeanza kukaa sawa 🐒

kiburi, jeuri, chuki na uzushi bana mwisho wake ni aibu sana 🐒
 
Usitishike wala kufeel vibaya Watanzania tunaopinga maovu na upigaji tupo nyuma yako. Yale 1995 ya marehemu Agustine Mrema huenda yakajirudia 2025. Wewe komaa usitishwe na Mafisadi. Hii nchi ni ya Watanzania.

View attachment 3028449
Mpo nyuma wapi? Watamkata atakimbilia upinzani watamuibia kura au huwajui CCM vizuri? Angekua na akili angepigania katiba mpya ili hata akifukuzwa awe na uhakika wa kurudi bungeni.

Ila kwa kuwa anawaza uwaziri hawezi kuona picha kubwa.
 
Back
Top Bottom