Ushauri: Maisha ya mahusiano yanahitaji Mwelekeo na sio haraka

Ushauri: Maisha ya mahusiano yanahitaji Mwelekeo na sio haraka

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Advice
Huku mtaani ,majumbani barabarani habari ni kutelekezwa kwa watoto na kila familia Basi hukosi zao la single mothers au kijana wa ovyo aliyetia wanawake Mimba bila kuwaoa

What I need to say.
Maisha sio leo ni Kesho Kama asemavyo Mkuu Mshana Jr mentor wa vijana wa TANZANIA.

Wakati wa ujana hasa Kuanzia 20s ni umri wenye up& down nyingi Ambazo ni uncountable .

Hapa ndo kundi kubwa la single mothers hupatikana kwa asilimia kubwa . na ndo hapa Vijana wa ovyo au tuwaite vijana the stranger upachika wanawake Mimba pasipo mikakati ya ndoa Wala kulea mtoto, kiuchumi, kiroho nk

Sasa maana Yake mtoto anazaliwa anamkuta Baba hayupo anakosa malezi huku Mama akiishi katika dimbwi kubwa la umasikini wa kiuchumi, kiroho na kimwili Sasa usitegemee huyo mtoto akasoma vizuri au kutoboa Maisha kirahisi labda asilimia chache tu ndo hufanikiwa kutoboa.

Nini kifanyike
Vijana wa kiume tafuteni Mwelekeo wa Maisha ya haki katika kuishi katika Usafi wa Mwili roho na Matendo, ikifika Muda utapata Mwanaume utaolewa na utaishi vizuri usikimbizane na wakati eti umri umeenda uzae tu huku hujasimama kiuchumi na Mwanao anakuja kuwa mtumwa wa watu huku Duniani akiteswa na kufanya Kazi zichoshazo mwili wake huku akilipwa ujira Mdogo.

Pia vijana wa kiume hakikisha unajitafta unajipata kwanza Kuzalisha Mwanamke na kumtelekeza ni ujuha usio na maana.

Mfano kila mtu angetamani kuwa na Maisha yaliyotawaliwa na busara za Juu Kama ya Mshana Jr je tutafikaje huko ikiwa hatuwekezi katika direction bali speed .

Haraka ni ya SHETANI. Tumtumikie Mungu katika haki na kweli.
 
Ashk ya ngono haizuiliwi kizembe , kinachofanya watoto watelekezwe ni economic factor , na tamaa ya ngono haiangalii maskini wala tajiri
 
Advice
Huku mtaani ,majumbani barabarani habari ni kutelekezwa kwa watoto na kila familia Basi hukosi zao la single mothers au kijana wa ovyo aliyetia wanawake Mimba bila kuwaoa

What I need to say.
Maisha sio leo ni Kesho Kama asemavyo Mkuu Mshana Jr mentor wa vijana wa TANZANIA.

Wakati wa ujana hasa Kuanzia 20s ni umri wenye up& down nyingi Ambazo ni uncountable .

Hapa ndo kundi kubwa la single mothers hupatikana kwa asilimia kubwa . na ndo hapa Vijana wa ovyo au tuwaite vijana the stranger upachika wanawake Mimba pasipo mikakati ya ndoa Wala kulea mtoto, kiuchumi, kiroho nk

Sasa maana Yake mtoto anazaliwa anamkuta Baba hayupo anakosa malezi huku Mama akiishi katika dimbwi kubwa la umasikini wa kiuchumi, kiroho na kimwili Sasa usitegemee huyo mtoto akasoma vizuri au kutoboa Maisha kirahisi labda asilimia chache tu ndo hufanikiwa kutoboa.

Nini kifanyike
Vijana wa kiume tafuteni Mwelekeo wa Maisha ya haki katika kuishi katika Usafi wa Mwili roho na Matendo, ikifika Muda utapata Mwanaume utaolewa na utaishi vizuri usikimbizane na wakati eti umri umeenda uzae tu huku hujasimama kiuchumi na Mwanao anakuja kuwa mtumwa wa watu huku Duniani akiteswa na kufanya Kazi zichoshazo mwili wake huku akilipwa ujira Mdogo.

Pia vijana wa kiume hakikisha unajitafta unajipata kwanza Kuzalisha Mwanamke na kumtelekeza ni ujuha usio na maana.

Mfano kila mtu angetamani kuwa na Maisha yaliyotawaliwa na busara za Juu Kama ya Mshana Jr je tutafikaje huko ikiwa hatuwekezi katika direction bali speed .

Haraka ni ya SHETANI. Tumtumikie Mungu katika haki na kweli.
Haraka ni ya SHETANI. Tumtumikie Mungu katika haki na kweli.[emoji817][emoji818][emoji1752]
 
Advice
Huku mtaani ,majumbani barabarani habari ni kutelekezwa kwa watoto na kila familia Basi hukosi zao la single mothers au kijana wa ovyo aliyetia wanawake Mimba bila kuwaoa


Haraka ni ya SHETANI. Tumtumikie Mungu katika haki na kweli.
Somo zuri Sana mwenye sikio na asikie
 
njoo uchukue bange joint tatu,
Uongeze akili yako maradufu,
Leo umenena ukweli mtupu,
Umenibariki leo wangu mkuu,

🍁..........kush master.........🍁
 
njoo uchukue bange joint tatu,
Uongeze akili yako maradufu,
Leo umenena ukweli mtupu,
Umenibariki leo wangu mkuu,

[emoji260]..........kush master.........[emoji260]
Yaliyomkuta baada ya kuvuta bangi ni Majuto hadi kufa.
 
Back
Top Bottom