bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 3,083
- 5,179
Hbr na poleni na swaum wana JF:-
Niende kwenye point kuu ya mada hii nina mzee wangu anakaribia kustaafu serikalini kama mtumishi wa umma kwenye kada ya afya, tumezaliwa watoto 4 Mungu ni mwema wote tulibahatika kwenda na sasa tumebahatika kwa uwezo wa Mungu tupo kwenye ajira nini pointi yangu ya kuleta hii thread hapa jukwaani??
Anayestaafu ni mzazi wangu lkn mimi kama mtoto wake mkubwa sio mbaya nikawa na kitu cha kumshauri kwa mafao yake na mapumzko yake baada ya kulitumikia taifa kwa muda mrefu sana maana nina meeting nae next week ndani ya mwezi huu wa 4
Nafaham zile hela zao zinakujaga nyingi kwa mkupuo ili asiweze kuteleza kama wastaafu wengine maoni yako kama mdau kama ndugu au rafiki ktk Jamii Forums na uzoefu wako juu ya haya masuala ni vitu gani naweza mshauri mzee wangu vya kufanya baada ya kupokea haki zake ili asiweze kutetereka kiuchumi baadae maana ni pesa ambayo inatoka tu bila kuingia
Kwako mwanaJF
Natanguliza shukrani. Karibu.
Niende kwenye point kuu ya mada hii nina mzee wangu anakaribia kustaafu serikalini kama mtumishi wa umma kwenye kada ya afya, tumezaliwa watoto 4 Mungu ni mwema wote tulibahatika kwenda na sasa tumebahatika kwa uwezo wa Mungu tupo kwenye ajira nini pointi yangu ya kuleta hii thread hapa jukwaani??
Anayestaafu ni mzazi wangu lkn mimi kama mtoto wake mkubwa sio mbaya nikawa na kitu cha kumshauri kwa mafao yake na mapumzko yake baada ya kulitumikia taifa kwa muda mrefu sana maana nina meeting nae next week ndani ya mwezi huu wa 4
Nafaham zile hela zao zinakujaga nyingi kwa mkupuo ili asiweze kuteleza kama wastaafu wengine maoni yako kama mdau kama ndugu au rafiki ktk Jamii Forums na uzoefu wako juu ya haya masuala ni vitu gani naweza mshauri mzee wangu vya kufanya baada ya kupokea haki zake ili asiweze kutetereka kiuchumi baadae maana ni pesa ambayo inatoka tu bila kuingia
Kwako mwanaJF
Natanguliza shukrani. Karibu.