Ushauri/maoni

Zainab j

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2018
Posts
1,817
Reaction score
2,362
Wakuu habari,

Nina mshkaji wangu yupo Morogoro, wana kesi walishtakiwa ya kiofisi Tangu mwaka 201, upande wa Jamhuri walileta shahidi mmoja tu, ishapita miezi hawajaleta shahidi mwingine, Sasa ananiambia mwezi uliopita Hakimu alitaka kuwafutia kesi maana kashaichoka na ni ya muda mrefu Sana.

Sasa bwana anasema upande Jamhuri waliwaandaa polisi hili wakiachiwa tu wakamatwe Tena, na anasema wakikamatwa tena kesi nasikia inaanza upya na kwa Hakimu mwingine, na masharti mapya ya dhamana.

Hii inakaaje kisheria, mbona sheria zetu kama ni hivyo ni za ovyo sana na kiuonevu kwa raia wake.
 
Mwambie hiyo siku waisende waende tu mawakili wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…