Ushauri : mashindano ya Ladies First yaitwe Theresia Dismas

Ushauri : mashindano ya Ladies First yaitwe Theresia Dismas

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
IMG_4215.jpeg


Kwa kuwa mwanamama Theresia Dismas ndiye mtanzania wa kwanza kuiletea Tanzania medali ya Fedha kwa mchezo wa kurusha Mkuki mwaka 1965 kwenye mashindano ya All African Games yaliyofanyika Brazaville Kongo, ni wakati sasa;
IMG_4217.jpeg

Kanali Juma ikangaa, BMT na JICA kubadilisha jina la "Ladies First " na kuita Theresia Dismas Festivals ili kumuenzi mama huyo, kwa kuwa ndiye dhima kuu ya mashindano hayo.
 
Back
Top Bottom