Ushauri : mashindano ya Ladies First yaitwe Theresia Dismas

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414


Kwa kuwa mwanamama Theresia Dismas ndiye mtanzania wa kwanza kuiletea Tanzania medali ya Fedha kwa mchezo wa kurusha Mkuki mwaka 1965 kwenye mashindano ya All African Games yaliyofanyika Brazaville Kongo, ni wakati sasa;

Kanali Juma ikangaa, BMT na JICA kubadilisha jina la "Ladies First " na kuita Theresia Dismas Festivals ili kumuenzi mama huyo, kwa kuwa ndiye dhima kuu ya mashindano hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…