Kama utaamua kusoma fani yoyote ngazi ya cheti; hakikisha una uhakika wa kazi. Kuna rafiki zangu wengi waliopata Div IV O-level; waamua; wengine kwnda uplisi, kufanya biashara, askari magereza, driving n.k Kwa sasa wana utajiri mkubwa + familia. Mimi bado nasongoka na test, semina, presentation n.k. Kufanikiwa maishani hakutegei elimu ya darasani bali BUSARA, UBUNIFU NA ELIMU YA MTAANI(street wisdom)
Pia, kama unaweza kufanya kazi za kujiajiri ni vyema sana.
Sikushauri sana kurudia shule....
KUFANIKIWA NI LAZIMA, BILA HATA YA KUWA NA ELIMU YA CHUO KIKUU